Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya za Walimu Julai 2024 – Mfumo wa Maombi ya Ajira za Ualimu

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 10:18 pm

    CV na Barua ya kazi Ajira za Ualimu - Walimu 2024. Unaweza kuhariri barua yako ya maombi ya kazi kwa kuondoa uliyokuwa umeweka awali na kuweka barua nyingine. Utaweza kufanya hivi tu endapo bado tangazo la maombi ya kazi bado liko hewani na muda wa kuwasilisha maombi haujamalizika. Baada ya kubonyezRead more

    CV na Barua ya kazi Ajira za Ualimu – Walimu 2024.

    Unaweza kuhariri barua yako ya maombi ya kazi kwa kuondoa uliyokuwa umeweka awali na kuweka barua nyingine. Utaweza kufanya hivi tu endapo bado tangazo la maombi ya kazi bado liko hewani na muda wa kuwasilisha maombi haujamalizika.

    Baada ya kubonyeza kitufe cha kuhariri (edit) utatakiwa kuambatisha barua inayotakiwa na kubonyeza sehemu iliyoandikwa huisha (update) ili kuhifadhi (save) barua yenye mabadiliko katika mfumo.

    See less
    • -2
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Jinsi Ya Kutuma Maombi Ajira Za Walimu (Ualimu) Utumishi – Ajira Portal 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 9:38 pm

    Mfumo wa Ajira za Ualimu Ajira Portal Utumishi 2024. Jaza taarifa zote muhimu kwa kuzingatia mpangilio huu: - Chagua ngazi yako ya Elimu - Chagua nchi uliyosoma. - Chagua fani sahihi kulingana na taaluma yako ili uweze jina sahihi la fani yako uliyohitimu. - Chagua fani uliyofuzu na inatakiwa jina lRead more

    Mfumo wa Ajira za Ualimu Ajira Portal Utumishi 2024.

    Jaza taarifa zote muhimu kwa kuzingatia mpangilio huu:
    – Chagua ngazi yako ya Elimu
    – Chagua nchi uliyosoma.
    – Chagua fani sahihi kulingana na taaluma yako ili uweze jina sahihi la fani yako uliyohitimu.
    – Chagua fani uliyofuzu na inatakiwa jina lake lifanane na kilichoandikwa kwenye cheti chako cha kuhitimu ambacho unataka kukiambatisha kwenye mfumo, endapo hujapata jina linaloendana na kozi uliyomaliza huenda umechagua sehemu isiyo sahihi na taaluma yako, hivyo tafuta sehemu nyingine kwa kutumia jina la fani uliyofuzu kama ilivyoandikwa kwenye cheti chako.
    – Chagua au jaza jina la chuo na kama chuo ulichosoma hakipo andika jina kamili kwa kirefu, usitumie vifupisho havikubaliki.
    – Onyesha ulianza lini na ulihitimu lini.
    – Ambatisha nakala ya cheti kilichothibitishwa na mwanasheria na hakikisha cheti chako unachokiweka hakizidi 2MB.
    – Bonyeza sehemu ya hifadhi (save) ili taarifa na nyaraka zako ziweze kuhuishwa na kuhifadhiwa kwenye mfumo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Jinsi Ya Kutuma Maombi Ajira Za Walimu (Ualimu) Utumishi – Ajira Portal 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 9:35 pm

    Mfumo wa maombi ya ajira za walimu 2024 Utumishi. Taarifa za Kitaaluma: Katika eneo hili, mwombaji wa ajira anapaswa kuchagua kiwango cha elimu kwenye eneo la “educational level”. Inashauriwa mwombaji kazi aanze na taarifa za kidato cha nne na kuendelea kulingana na kiwango chake cha elimu. Wakati wRead more

    Mfumo wa maombi ya ajira za walimu 2024 Utumishi.

    Taarifa za Kitaaluma: Katika eneo hili, mwombaji wa ajira anapaswa kuchagua kiwango cha elimu kwenye eneo la “educational level”. Inashauriwa mwombaji kazi aanze na taarifa za kidato cha nne na kuendelea kulingana na kiwango chake cha elimu. Wakati wa kuingiza taarifa za kiwango cha elimu baada ya zile za elimu ya sekondari, mwombaji kazi anatakiwa kuchagua kundi la kozi yake (programme category).

    Endapo umechagua kundi la kozi yako na usipoiona tambua kuwa hukuwa umechagua kundi stahiki na hivyo itakulazimu kurudi na kupitia makundi hayo upya. Aidha, kama mwombaji amesoma nje ya Tanzania atatakiwa kujaza kwenye eneo la kundi la kozi husika na Sekretarieti ya Ajira itathibitisha usahihi wa chaguo aliloliweka.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Ajira za Walimu 2024 Utumishi – Ajira za Ualimu Utumishi

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:49 pm

    Nafasi za Walimu 2024 Utumishi: Jinsi ya kutuma maombi ajira portal. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE). Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria. Maombi yote yatumRead more

    Nafasi za Walimu 2024 Utumishi: Jinsi ya kutuma maombi ajira portal.

    Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

    Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa ajira portal utumishi hapa https://portal.ajira.go.tz

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Ajira za Walimu 2024 Utumishi – Ajira za Ualimu Utumishi

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:46 pm

    Ajira za Ualimu 2024 Utumishi zimetoka. Hizi ni baadhi ya sifa: Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha nne ambaye amefaulu mafunzo ya Ualimu ya miaka miwili (2) kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali na kutunukiwa cheti cha Ualimu Daraja la IIIA. - NGAZI YA MSHAHARA KRead more

    Ajira za Ualimu 2024 Utumishi zimetoka.

    Hizi ni baadhi ya sifa: Kuajiriwa mwenye cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha nne ambaye amefaulu mafunzo ya Ualimu ya miaka miwili (2) kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali na kutunukiwa cheti cha Ualimu Daraja la IIIA.

    – NGAZI YA MSHAHARA
    Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGTS- C

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: May 10, 2025In: Ajira

    Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi – Ajira za Walimu 2025

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:18 pm
    This answer was edited.

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za Ajira za Walimu 2025 kutoka Utumishi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamojana vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; KATIBU, OFISI YA RAIS, SEKRETARRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za Ajira za Walimu 2025 kutoka Utumishi.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024.

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
    pamojana vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    KATIBU,
    OFISI YA RAIS,
    SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
    S. L. P. 2320, DODOMA.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment 45 Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’) (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: May 10, 2025In: Ajira

    Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi – Ajira za Walimu 2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:17 pm
    This answer was edited.

    Ajira za Walimu (UALIMU) 2025 Utumishi - Nafasi 11015 za Ualimu Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa Waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo. Waombaji waambatishe maelezRead more

    Ajira za Walimu (UALIMU) 2025 Utumishi – Nafasi 11015 za Ualimu

    Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa Waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.

    Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.

    Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti 44 vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya kuzaliwa, kidato cha Nne, kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho, na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: May 10, 2025In: Ajira

    Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi – Ajira za Walimu 2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:15 pm
    This answer was edited.

    Ajira Mpya za Walimu 2025 Utumishi. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini serikalini. Waombaji wa nafasi za Mwalimu Daraja la III B na Mwalimu Daraja la III C wahakikishe wanambatisha HATI YA MATOKEO (ACADEMIC TRANSCRIPT) katika mfumRead more

    Ajira Mpya za Walimu 2025 Utumishi.

    Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini serikalini.

    Waombaji wa nafasi za Mwalimu Daraja la III B na Mwalimu Daraja la III C wahakikishe wanambatisha HATI YA MATOKEO (ACADEMIC TRANSCRIPT) katika mfumo wa “Ajira Portal” kwa ajii ya utambuzi wa masomo ya kufundishia.

    Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.

    See less
    • -2
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Manispaa ya Iringa – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 7:43 pm

    Ajira Mpya Iringa 2024 Utumishi - Nafasi za Halmashauri. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01/08/2024. Muhimu: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; Mkurugenzi wa Halmashauri, Manispaa ya Iringa, S.L.P. 16Read more

    Ajira Mpya Iringa 2024 Utumishi – Nafasi za Halmashauri.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01/08/2024.
    Muhimu: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja
    na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    Mkurugenzi wa Halmashauri,
    Manispaa ya Iringa,
    S.L.P. 162,
    IRINGA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS) – Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 4:00 pm

    Orodha ya walioitwa kazini Utumishi 2024/2025. Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha MpigaRead more

    Orodha ya walioitwa kazini Utumishi 2024/2025.

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    Kwa matangazo mbalimbali ya nafasi za kazi, ajira mpya kutoka serikalini tembelea https://ajira.go.tz.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 12 13 14 15 16 … 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.