Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS) – Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 3:56 pm

    Kuitwa kazini Utumishi 2024. Pia, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakRead more

    Kuitwa kazini Utumishi 2024.

    Pia, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
    Endelea..

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 2:36 pm

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Kigamboni 2024 Utumishi. Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo https://portal.ajira.go.tz, aidha hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyotajwa. Limetolewa Na: - E. NRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Kigamboni 2024 Utumishi.

    Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo https://portal.ajira.go.tz, aidha hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyotajwa.

    Limetolewa Na: –
    E. N. Kiwale
    Mkurugenzi Manispaa ya Kigamboni.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 2:35 pm

    Ajira Mpya Kigamboni - Nafasi za Halmashauri 2024 Utumishi. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kungilia kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiridhishe ipasavyo. Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 27.07.2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazRead more

    Ajira Mpya Kigamboni – Nafasi za Halmashauri 2024 Utumishi.

    Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kungilia kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiridhishe ipasavyo.

    Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 27.07.2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliosainishwa pamoja na vyeti vya Elimu. Anuani ya barua hiyoielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi wa Manispaa,
    Halmashauri ya Manispaa Kigamboni,
    S.L.P. 36009,
    Kigamboni – Dar Es Salaam.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Manispaa ya Lindi – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 1:03 pm

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuiRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’.

    Kumbuka: Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIKIWA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Manispaa ya Lindi – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 1:01 pm

    Ajira Mpya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- MKURUGENZI WA HALMASHAURI HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI S.Read more

    Ajira Mpya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
    pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    MKURUGENZI WA HALMASHAURI
    HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI
    S. L. P 1070
    LINDI

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:04 am

    Huduma kwa wateja Tume ya Utumishi wa Bunge Tanzania. Kwa msaada na ufafanuzi piga namba; +255738685177. Simu zipigwe muda wa kazi kuanzia Saa 2:00 Asubuhi – 11:00 Jioni. Limetolewa na: - KATIBU WA BUNGE OFISI YA BUNGE DODOMA.

    Huduma kwa wateja Tume ya Utumishi wa Bunge Tanzania.

    Kwa msaada na ufafanuzi piga namba; +255738685177. Simu zipigwe muda wa kazi kuanzia Saa 2:00 Asubuhi – 11:00 Jioni.

    Limetolewa na: –
    KATIBU WA BUNGE
    OFISI YA BUNGE
    DODOMA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:02 am

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: - https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingiRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi.

    Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: – https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa (Recruitment Portal). Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:00 am

    Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024 MUHIMU Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. Barua hiyo ielekezwe kwa: - KATIBU WA BUNGE OFISI YA BUNGE 10 BARABARA YA MOROGORO S.L.P. 941 40490 TAMRead more

    Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge 2024.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024
    MUHIMU
    Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya
    elimu. Barua hiyo ielekezwe kwa: –

    KATIBU WA BUNGE
    OFISI YA BUNGE
    10 BARABARA YA MOROGORO
    S.L.P. 941
    40490 TAMBUKARELI
    DODOMA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Wilaya ya Singida – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 7:40 am

    Ajira Mpya Singida - Nafasi za Halmashauri 2024 Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika. Mwisho waRead more

    Ajira Mpya Singida – Nafasi za Halmashauri 2024

    Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01 Agosti, 2024
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
    pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
    Mkurugenzi wa Mtendaji
    Halmashauri ya Wilaya,
    S.L.P 27,
    SINGIDA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 7:24 am

    Ajira Mpya Kibit Tanzania - Nafasi za Halmashauri. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya, S.L.Read more

    Ajira Mpya Kibit Tanzania – Nafasi za Halmashauri.

    Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya,
    S.L.P 33,
    KIBITI.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 13 14 15 16 17 … 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.