Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS) – Julai 2024
Kuitwa kazini Utumishi 2024. Pia, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakRead more
Kuitwa kazini Utumishi 2024.
Pia, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
See lessEndelea..
Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Kigamboni 2024 Utumishi. Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo https://portal.ajira.go.tz, aidha hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyotajwa. Limetolewa Na: - E. NRead more
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Kigamboni 2024 Utumishi.
Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo https://portal.ajira.go.tz, aidha hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyotajwa.
Limetolewa Na: –
See lessE. N. Kiwale
Mkurugenzi Manispaa ya Kigamboni.
Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024
Ajira Mpya Kigamboni - Nafasi za Halmashauri 2024 Utumishi. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kungilia kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiridhishe ipasavyo. Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 27.07.2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazRead more
Ajira Mpya Kigamboni – Nafasi za Halmashauri 2024 Utumishi.
Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kungilia kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiridhishe ipasavyo.
Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 27.07.2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliosainishwa pamoja na vyeti vya Elimu. Anuani ya barua hiyoielekezwe kwa: –
Mkurugenzi wa Manispaa,
See lessHalmashauri ya Manispaa Kigamboni,
S.L.P. 36009,
Kigamboni – Dar Es Salaam.
Nafasi za kazi Manispaa ya Lindi – Utumishi Julai 2024
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuiRead more
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi.
Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’.
Kumbuka: Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIKIWA
See lessNafasi za kazi Manispaa ya Lindi – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- MKURUGENZI WA HALMASHAURI HALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI S.Read more
Ajira Mpya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-
MKURUGENZI WA HALMASHAURI
See lessHALMASHAURI YA MANISPAA YA LINDI
S. L. P 1070
LINDI
Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024
Huduma kwa wateja Tume ya Utumishi wa Bunge Tanzania. Kwa msaada na ufafanuzi piga namba; +255738685177. Simu zipigwe muda wa kazi kuanzia Saa 2:00 Asubuhi – 11:00 Jioni. Limetolewa na: - KATIBU WA BUNGE OFISI YA BUNGE DODOMA.
Huduma kwa wateja Tume ya Utumishi wa Bunge Tanzania.
Kwa msaada na ufafanuzi piga namba; +255738685177. Simu zipigwe muda wa kazi kuanzia Saa 2:00 Asubuhi – 11:00 Jioni.
Limetolewa na: –
See lessKATIBU WA BUNGE
OFISI YA BUNGE
DODOMA.
Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: - https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingiRead more
Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi.
Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: – https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa (Recruitment Portal). Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.
See lessNafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024 MUHIMU Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. Barua hiyo ielekezwe kwa: - KATIBU WA BUNGE OFISI YA BUNGE 10 BARABARA YA MOROGORO S.L.P. 941 40490 TAMRead more
Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge 2024.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024
MUHIMU
Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya
elimu. Barua hiyo ielekezwe kwa: –
KATIBU WA BUNGE
See lessOFISI YA BUNGE
10 BARABARA YA MOROGORO
S.L.P. 941
40490 TAMBUKARELI
DODOMA.
Nafasi za kazi Wilaya ya Singida – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Singida - Nafasi za Halmashauri 2024 Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika. Mwisho waRead more
Ajira Mpya Singida – Nafasi za Halmashauri 2024
Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01 Agosti, 2024
See lessMUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
Mkurugenzi wa Mtendaji
Halmashauri ya Wilaya,
S.L.P 27,
SINGIDA.
Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Kibit Tanzania - Nafasi za Halmashauri. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya, S.L.Read more
Ajira Mpya Kibit Tanzania – Nafasi za Halmashauri.
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
Mkurugenzi Mtendaji,
See lessHalmashauri ya Wilaya,
S.L.P 33,
KIBITI.