Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Nafasi za kazi Mkinga – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Halmashauri ya wilaya ya Mkinga. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehRead more
Ajira Mpya Halmashauri ya wilaya ya Mkinga.
Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja
na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
Mkurugenzi Mtendaji,
See lessHalmashauri ya Wilaya Mkinga,
S.L.P. 6005,
TANGA.
Nafasi za kazi Njombe – Utumishi Julai 2024
Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Njombe - Ajira Mpya Njombe 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 29 July, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri yaRead more
Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Njombe – Ajira Mpya Njombe 2024.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 29 July, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji,
See lessHalmashauri ya Mji Njombe,
S.L.P. 577,
NJOMBE.
Nafasi za kazi Newala – Utumishi Julai 2024
Nafasi za Ajira Newala Halmashauri. Wakatakao kidhi Sifa zinazotakiwa ndio pekee watakaoitwa katika Usahili. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29/07/2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - MkurugenziRead more
Nafasi za Ajira Newala Halmashauri.
Wakatakao kidhi Sifa zinazotakiwa ndio pekee watakaoitwa katika Usahili.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29/07/2024
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
Mkurugenzi wa Mji,
See lessHalmashauri ya Mji Newala,
S.L.P 39
63482 NEWALA
Nafasi za kazi Rombo – Utumishi Julai 2024
Nafasi za halmashauri Rombo. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024. MUHIMU. Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ya; - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya Rombo, S.L.P 52, ROMBO
Nafasi za halmashauri Rombo.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024.
MUHIMU. Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi
iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ya; –
Mkurugenzi Mtendaji,
See lessHalmashauri ya Wilaya Rombo,
S.L.P 52,
ROMBO
Nafasi za kazi Mwanga – Utumishi Julai 2024
Ajira Mpya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; MKURUGENZI MTENDAJI (W), HALMASHAURI YA WILAYA MWANGA, S.L.P.716 MRead more
Ajira Mpya Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 31 Julai, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
MKURUGENZI MTENDAJI (W),
See lessHALMASHAURI YA WILAYA MWANGA,
S.L.P.716
MWANGA
Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Uzoefu
Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Shahada Shahada siyo lazima kila mara ili kupata kazi kama mchambuzi wa takwimu. Wachambuzi wa takwimu wanahitajika sana, na waajiri wanataka kujua kwamba una ujuzi wa kufanya kazi hiyo. Ikiwa huna shahada, zingatia kufanya jalada lako la kazi (portfolio) kuwaRead more
Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Shahada
Shahada siyo lazima kila mara ili kupata kazi kama mchambuzi wa takwimu. Wachambuzi wa takwimu wanahitajika sana, na waajiri wanataka kujua kwamba una ujuzi wa kufanya kazi hiyo. Ikiwa huna shahada, zingatia kufanya jalada lako la kazi (portfolio) kuwa bora kwa kuonyesha kazi zako nzuri zaidi.
See lessMajina ya Walioitwa kwenye Usaili NEC – Muleba INEC Julai 2024
Orodha ya walioitwa kwenye usaili INEC - NEC Tume ya uchaguzi Tanzania Aidha, katika usaili unatakiwa kufanya yafuatayo:- 1. Kila msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. 2. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha Mpira kura, KitambuliRead more
Orodha ya walioitwa kwenye usaili INEC – NEC Tume ya uchaguzi Tanzania
Aidha, katika usaili unatakiwa kufanya yafuatayo:-
See less1. Kila msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi.
2. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha Mpira kura, Kitambulisho cha Mkazi, Hati ya Kusafiria, Leseni ya Udereva na Barua ya Utambulisho toka Serikali ya Kijiji kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji, kwa watumishi wa Umma awe na kitambulisho cha kazi.
3. Kila msailiwa atajigharamia Chakula, Usafiri na Malazi.
4. Kila msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
5. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili ifahamike kuwa hakufanikiwa kuingia kwenye usaili.
6. Orodha ya waoitwa kwenye usaili imeambatanishwa na tangazo hili
Walioitwa kwenye Usaili INEC – Bukoba NEC 2024
Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili NEC - INEC mikoa mbalimbali Tafadhali endelea kusubiri au tembelea kurasa la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania
Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili NEC – INEC mikoa mbalimbali
Tafadhali endelea kusubiri au tembelea kurasa la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania
See lessWalioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Karagwe 2024
Kwa majina mengine ya walioitwa kwenye usaili pia matokeo ya usaili tafadhali tembelea tovuti husika ya jimbo au kurasa za wilaya na majimbo pia tovuti ya INEC Tanzania
Kwa majina mengine ya walioitwa kwenye usaili pia matokeo ya usaili tafadhali tembelea tovuti husika ya jimbo au kurasa za wilaya na majimbo pia tovuti ya INEC Tanzania
See lessWalioitwa Kazini Manispaa ya lringa – Utumishi Julai 2024
Kwa matangazo ya nafasi za kazi, ajira mpya mbalimbali kutoka utumishi tafadhali tembelea PSRS
Kwa matangazo ya nafasi za kazi, ajira mpya mbalimbali kutoka utumishi tafadhali tembelea PSRS
See less