Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Utaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:32 am

    KUHAMA CHUO AU KOZI NDANI YA CHUO HESLB haitafanya malipo ya mkopo kwa wanafunzi ambao watahama vyuo kwa hiari yao wenyewe. Baada ya kupokea uthibitisho wa uhamisho wa mwanafunzi kutoka kwa mamlaka husika, uhamisho wa mkopo utafanyika. Hakuna uhamisho wa mkopo utakaofanyika zaidi ya siku mia moja isRead more

    KUHAMA CHUO AU KOZI NDANI YA CHUO
    HESLB haitafanya malipo ya mkopo kwa wanafunzi ambao watahama vyuo kwa hiari yao wenyewe. Baada ya kupokea uthibitisho wa uhamisho wa mwanafunzi kutoka kwa mamlaka husika, uhamisho wa mkopo utafanyika. Hakuna uhamisho wa mkopo utakaofanyika zaidi ya siku mia moja ishirini (120) baada ya kutangazwa taarifa za udahili. Uhamisho wa mkopo utafanyika kulingana na kiasi cha mkopo kilichopangwa awali.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Utaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:31 am

    UREJESHAJI MKOPO HESLB Baada ya kuhitimu au kusitisha masomo ya elimu ya juu, mnufaika wa mkopo atatakiwa kurejesha mkopo kwa makato si chini ya asilimia kumi na tano (15%) ya mshahara wake wa kila mwezi. Mnufaika ambaye amejiajiri anapaswa kurejesha mkopo wake kwa kiwango kisichopungua shilingi lakRead more

    UREJESHAJI MKOPO HESLB
    Baada ya kuhitimu au kusitisha masomo ya elimu ya juu, mnufaika wa mkopo atatakiwa kurejesha mkopo kwa makato si chini ya asilimia kumi na tano (15%) ya mshahara wake wa kila mwezi. Mnufaika ambaye amejiajiri anapaswa kurejesha mkopo wake kwa kiwango kisichopungua shilingi laki moja (100,000/=) kwa mwezi au 10% ya pato lake linalotozwa kodi. Mikopo yote inatozwa asilimia moja (1%) ya ada ya uendeshaji kwenye mkopo halisi wa mnufaika kwa mwaka.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Kozi zenye Kipaumbele Kupata Mkopo HESLB

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:21 am

    KADA (KOZI) ZENYE KIPAUMBELE KUPATA MKOPO HESLB Kundi la Tatu (i) Programu katika kundi hili ni pamoja na Masomo ya Biashara na Uongozi, Sayansi za Jamii, Sanaa, Sheria, Lugha, Fasihi na Masomo ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano. (ii) Programu nyingine zote ambazo hazijaorodheshwa katika kundi lolRead more

    KADA (KOZI) ZENYE KIPAUMBELE KUPATA MKOPO HESLB
    Kundi la Tatu
    (i) Programu katika kundi hili ni pamoja na Masomo ya Biashara na Uongozi, Sayansi za Jamii, Sanaa, Sheria, Lugha, Fasihi na Masomo ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano.
    (ii) Programu nyingine zote ambazo hazijaorodheshwa katika kundi lolote kati ya hayo matatu, zitaangukia katika kundi la tatu.

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Kozi zenye Kipaumbele Kupata Mkopo HESLB

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:19 am

    KOZI ZENYE KIPAUMBELE KUPATA MKOPO HESLB Kundi la Pili Kozi katika kundi hili ni: (i) Programu za Msingi za Sayansi (Shahada ya Sayansi kwa ujumla katika Wanyama, Mimea, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Baiolojia ya Viumbe Vidogo, Baiolojia ya Mifugo na Bioteknolojia, Uvuvi na Mifugo, Sayansi ya MazingiraRead more

    KOZI ZENYE KIPAUMBELE KUPATA MKOPO HESLB
    Kundi la Pili

    Kozi katika kundi hili ni:
    (i) Programu za Msingi za Sayansi (Shahada ya Sayansi kwa ujumla katika Wanyama, Mimea, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Baiolojia ya Viumbe Vidogo, Baiolojia ya Mifugo na
    Bioteknolojia, Uvuvi na Mifugo, Sayansi ya Mazingira na Uhifadhi, Matibabu, Hisabati na Takwimu, Sayansi ya Mazingira na Usimamizi, Afya na Mazingira, Baioteknolojia na Maabara, Wanyamapori na Uhifadhi, na Kompyuta); TEHAMA, Vipimo na Mizani, Mazingira na Maendeleo ya Miji.
    (ii) Programu ya Sayansi ya Ardhi (Ubunifu Majengo, Ubunifu Mandhari nje ya Majengo, Usanifu ndani ya Majengo, Uchumi Ujenzi, Mipango Miji na Vijiji, Usimamizi na Uthaminishi Ardhi, Jiospasho, Teknolojia katika Usanifu).

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Sifa Kuu za Kupata Mkopo Wa Bodi ya Mikopo HESLB Tanzania

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:09 am

    VIGEZO VYA KUPATA MKOPO HESLB - BODI YA MIKOPO TANZANIA (i) Mkopo utatolewa kwa kuzingatia uhitaji na programu; (ii) Waombaji wapya ambao kwa sasa wanaendelea na masomo, lazima wawe wamehitimu elimu ya kidato cha sita (ACSEE) au stashahada (diploma) ndani ya miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi 202Read more

    VIGEZO VYA KUPATA MKOPO HESLB – BODI YA MIKOPO TANZANIA
    (i) Mkopo utatolewa kwa kuzingatia uhitaji na programu;
    (ii) Waombaji wapya ambao kwa sasa wanaendelea na masomo, lazima wawe wamehitimu elimu ya kidato cha sita (ACSEE) au stashahada (diploma) ndani ya miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi 2024.
    (iii) Waombaji wote waliodahiliwa kusoma shahada mbalimbali kwa mwaka wa masomo 2024/2025 wanapaswa wawe wamehitimu kidato cha sita/Stashahada au sifa nyingine linganishi katika kipindi cha miaka mitano, yaani kati ya 2020 na 2024.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 15, 2024In: HESLB

    Mambo ya Kuzingatia Wakati wa kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 15, 2024 at 11:57 pm

    MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO HESLB 2024/2025 i. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Wanafunzi wa Shahada ya Awali (Bachelor) kwa 2024 -2025, ii. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Wanafunzi wa Stashahada (Diploma) kwa 2024 – 2025, iii. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Stashahada ya Umahiri katika MRead more

    MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO HESLB 2024/2025

    i. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Wanafunzi wa Shahada ya Awali (Bachelor) kwa 2024 -2025,

    ii. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Wanafunzi wa Stashahada (Diploma) kwa 2024 – 2025,

    iii. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Stashahada ya Umahiri katika Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo kwa 2024 – 2025 (Post Graduate Diploma in Legal Practice),

    iv. Mwongozo wa Utoaji Mikopo HESLB kwa Shahada za Umahiri na Uzamivu, na

    v. Mwongozo wa Utoaji Ruzuku za Samia kwa mwaka 2024 – 2025

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 15, 2024In: Vyuo Vikuu Tanzania

    Waliochaguliwa na TAMISEMI kujiunga na Chuo cha IFM

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 15, 2024 at 11:24 pm

    IFM Huduma kwa wateja DAR ES SALAAM: +255-734-205030 / +255-734-205029 / +255-734-205028 MWANZA: +255-734-205026 DODOMA: +255-734-205025 SIMIYU: +255-734-205027 Orodha ya waliochaguliwa IFM Bonyeza Hapa - https://ifm.ac.tz/advertisements

    IFM Huduma kwa wateja

    DAR ES SALAAM: +255-734-205030 / +255-734-205029 / +255-734-205028
    MWANZA: +255-734-205026
    DODOMA: +255-734-205025
    SIMIYU: +255-734-205027

    Orodha ya waliochaguliwa IFM Bonyeza Hapa – https://ifm.ac.tz/advertisements

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Golf Crest Hoteli

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 15, 2024 at 10:10 pm

    Mwisho wa kutuma maombi ni kabla ya 22 Julai 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ni kabla ya 22 Julai 2024

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Golf Crest Hoteli

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 15, 2024 at 10:09 pm

    Ajira Mpya Gold Crest Hoteli Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi za mapokezi mwanza Hoteli ya Gold Crest. Wagombea wanaopenda wanaweza kutuma barua ya maombi na CV yao kama nyaraka moja kwa hr@goldcresthotel.com

    Ajira Mpya Gold Crest Hoteli
    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi za mapokezi mwanza Hoteli ya Gold Crest.

    Wagombea wanaopenda wanaweza kutuma barua ya maombi na CV yao kama nyaraka moja kwa hr@goldcresthotel.com

    See less
    • -4
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS)

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 15, 2024 at 8:56 pm

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva. Pakua hapa orodha yaRead more

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    Pakua hapa orodha ya majina ya walioitwa kazini utumishi leo tarehe julai 15-2024
    Bonyeza hapa – https://t.co/wzl7W50PZt

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 17 18 19 20 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.