Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
NEC Walioitwa kwenye Mafunzo Tabora INEC
i. Jimbo la Tabora Kaskazini - Ukumbi Mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui. ii. Jimbo la Igalula - Ukumbi wa Shule ya Sekondari Idete. Orodha ya majina ya waliofaulu usaili kwa kila Kata na Jimbo imeambatishwa. Nawatakia safari njema na kuja kuhudhuria mafunzo. Majina ya waliofaulu usaili NEC UYUIRead more
i. Jimbo la Tabora Kaskazini – Ukumbi Mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui.
ii. Jimbo la Igalula – Ukumbi wa Shule ya Sekondari Idete.
Orodha ya majina ya waliofaulu usaili kwa kila Kata na Jimbo imeambatishwa.
Nawatakia safari njema na kuja kuhudhuria mafunzo.
Majina ya waliofaulu usaili NEC UYUI Bonyeza hapa – https://t.co/9Y8bZaA6MZ
Majina ya Walioitwa kwenye Mafunzo INEC KAKONKO DC – https://t.co/NTu5MHz547
Majina ya Walioitwa kwenye Mafunzo KIBONDO Angalia hapa – https://t.co/qQ24Fpgkxu
See lessNEC Walioitwa kwenye Mafunzo Tabora INEC
Hivyo, Afisa Mwandikishaji anawatangazia waombaji waliofaulu usaili uliofanyika tarehe 11/07/2024 Makao Makuu ya Halmashauri kwa nafasi ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki kufika katika kumbi zifuatazo kwa ajili ya Mafunzo tarehe 17/07/2024 saa 2:00 Asubuhi:-
Hivyo, Afisa Mwandikishaji anawatangazia waombaji waliofaulu usaili uliofanyika tarehe 11/07/2024 Makao Makuu ya Halmashauri kwa nafasi ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki kufika katika kumbi zifuatazo kwa ajili ya Mafunzo tarehe 17/07/2024 saa 2:00 Asubuhi:-
See lessNafasi za kazi shinyanga
Mwisho wa kuwasilisha maombi ni tarehe 25 Julai, 2024. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa 'RecruitmentRead more
Mwisho wa kuwasilisha maombi ni tarehe 25 Julai, 2024.
See lessMaombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment
Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana
kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa
‘Recruitment Portal’).
Nafasi za kazi shinyanga
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini; i. Waombaji wawasilishe maelezo binafsi (Curriculum Vitae) yanayojitosheleza (Detailed CV) yenye Anuani na Namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wRead more
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka18
See lessna usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini;
i. Waombaji wawasilishe maelezo binafsi (Curriculum Vitae) yanayojitosheleza
(Detailed CV) yenye Anuani na Namba za simu za kuaminika pamoja na majina
ya wadhamini watatu (Referees) wa kuaminika.
ii. Waombaji waambatanishe nakala za vyeti vya Kidato cha Nne au Sita, Taaluma
na cheti cha kuzaliwa. Waombaji watakaowasilisha” Result Slip”,” Statement of
Results”,” Provisional Results” au” Transcripts HAVITAKUBALIKA.
Nafasi za kazi shinyanga
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (4) DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 05) MTENDAJI WA MTAA DARAJA LA III (NAFASI 15)
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II NAFASI (4)
See lessDEREVA DARAJA LA II (NAFASI 05)
MTENDAJI WA MTAA DARAJA LA III (NAFASI 15)