Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Best Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
    • About
    • Questions
    • Polls
    • Answers
    • Best Answers
    • Asked Questions
    • Groups
    • Joined Groups
    • Managed Groups
  1. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Ajira za Walimu 2024 Utumishi – Ajira za Ualimu Utumishi

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:49 pm

    Nafasi za Walimu 2024 Utumishi: Jinsi ya kutuma maombi ajira portal. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE). Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria. Maombi yote yatumRead more

    Nafasi za Walimu 2024 Utumishi: Jinsi ya kutuma maombi ajira portal.

    Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

    Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa ajira portal utumishi hapa https://portal.ajira.go.tz

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: May 10, 2025In: Ajira

    Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi – Ajira za Walimu 2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:18 pm
    This answer was edited.

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za Ajira za Walimu 2025 kutoka Utumishi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamojana vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; KATIBU, OFISI YA RAIS, SEKRETARRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za Ajira za Walimu 2025 kutoka Utumishi.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024.

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
    pamojana vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    KATIBU,
    OFISI YA RAIS,
    SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
    S. L. P. 2320, DODOMA.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment 45 Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’) (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Manispaa ya Iringa – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 7:43 pm

    Ajira Mpya Iringa 2024 Utumishi - Nafasi za Halmashauri. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01/08/2024. Muhimu: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; Mkurugenzi wa Halmashauri, Manispaa ya Iringa, S.L.P. 16Read more

    Ajira Mpya Iringa 2024 Utumishi – Nafasi za Halmashauri.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01/08/2024.
    Muhimu: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja
    na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    Mkurugenzi wa Halmashauri,
    Manispaa ya Iringa,
    S.L.P. 162,
    IRINGA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS) – Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 4:00 pm

    Orodha ya walioitwa kazini Utumishi 2024/2025. Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha MpigaRead more

    Orodha ya walioitwa kazini Utumishi 2024/2025.

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    Kwa matangazo mbalimbali ya nafasi za kazi, ajira mpya kutoka serikalini tembelea https://ajira.go.tz.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Manispaa ya Lindi – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 1:03 pm

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuiRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Halmashauri ya Manispaa ya Lindi 2024 Utumishi.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz. Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’.

    Kumbuka: Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIKIWA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 8:02 am

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi. Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: - https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingiRead more

    Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi.

    Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: – https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa (Recruitment Portal). Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 20, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 20, 2024 at 7:24 am

    Ajira Mpya Kibit Tanzania - Nafasi za Halmashauri. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya, S.L.Read more

    Ajira Mpya Kibit Tanzania – Nafasi za Halmashauri.

    Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 28 Julai, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya,
    S.L.P 33,
    KIBITI.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 19, 2024In: Elimu

    Ufadhili wa Masomo Mfuko wa Kumbukumbu ya Udhamini wa Mwalimu Julius K. Nyerere

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 19, 2024 at 9:16 pm

    Ufadhili wa masomo BOT 2024-2025 Kundi A: Masomo ya Sayansi na Hisabati (Wanafunzi wa Kike pekee) Maombi ya Udhamini chini ya kundi hili ni kwa wagombea wa kike pekee na wanatakiwa kutimiza vigezo vifuatavyo: a) Mwombaji lazima awe raia wa kike wa Tanzania aliyemaliza Elimu ya Sekondari ya Kidato chRead more

    Ufadhili wa masomo BOT 2024-2025

    Kundi A: Masomo ya Sayansi na Hisabati (Wanafunzi wa Kike pekee)
    Maombi ya Udhamini chini ya kundi hili ni kwa wagombea wa kike pekee na wanatakiwa kutimiza vigezo vifuatavyo:

    a) Mwombaji lazima awe raia wa kike wa Tanzania aliyemaliza Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Sita (ACSEE) mwaka 2024.
    b) Mwombaji lazima awe mwanafunzi wa kike mwenye ufaulu wa hali ya juu (Daraja la Kwanza) katika masomo ya Sayansi au Hisabati katika Mitihani ya Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Sita (ACSEE) ya mwaka 2024; na
    c) Mwombaji lazima awe ameomba/amepokelewa kujiunga na programu ya Shahada ya Kwanza ya muda wote katika chuo kikuu kinachotambulika ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Programu hiyo inapaswa kuanza katika mwaka wa masomo wa 2024/2025 katika fani ya Sayansi au Hisabati.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 19, 2024In: Elimu

    Fomu ya Mapendekezo Ufadhili wa Masomo Mwalimu Nyerere 2024/2025 – BOT

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 19, 2024 at 8:35 pm

    Fomu ya maombi Ufadhili wa Masomo Mfuko wa Kumbukumbu ya Udhamini wa Mwalimu Julius K. Nyerere. Kumbuka: Ni wagombea waliochaguliwa tu watakaowasiliana kwa ajili ya usaili. Mwenyekiti, Kamati ya Tuzo za Udhamini, Mfuko wa Kumbukumbu ya Udhamini wa Mwalimu Julius K. Nyerere, Benki Kuu ya Tanzania, MtRead more

    Fomu ya maombi Ufadhili wa Masomo Mfuko wa Kumbukumbu ya Udhamini wa Mwalimu Julius K. Nyerere.

    Kumbuka: Ni wagombea waliochaguliwa tu watakaowasiliana kwa ajili ya usaili.

    Mwenyekiti,
    Kamati ya Tuzo za Udhamini,
    Mfuko wa Kumbukumbu ya Udhamini wa Mwalimu Julius K. Nyerere,
    Benki Kuu ya Tanzania,
    Mtaa wa Mirambo 2, 11884,
    DAR ES SALAAM.
    Simu Na. +255 22 2233041
    Faksi Na. +255 22 2234088

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 19, 2024In: Elimu

    Nafasi za Ufadhili wa Masomo Benki Kuu ya Tanzania (BOT) 2024/2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 19, 2024 at 8:15 pm

    Ufadhili wa Masomo Mwalimu Julius K. Nyerere Scholarship 2024/2025. Ufadhili huu hutolewa kwa kuzingatia sifa za kitaaluma na mchakato wa uchaguzi mkali. Waombaji watakaofaulu hupata ufadhili kamili unaogharamia gharama zote za moja kwa moja za chuo (ada za masomo nk.) na gharama za moja kwa moja zaRead more

    Ufadhili wa Masomo Mwalimu Julius K. Nyerere Scholarship 2024/2025.

    Ufadhili huu hutolewa kwa kuzingatia sifa za kitaaluma na mchakato wa uchaguzi mkali. Waombaji watakaofaulu hupata ufadhili kamili unaogharamia gharama zote za moja kwa moja za chuo (ada za masomo nk.) na gharama za moja kwa moja za mwanafunzi (chakula, malazi, posho ya vitabu na vifaa vya kuandikia, mafunzo kwa vitendo, mahitaji maalum ya kitivo nk.) kama ilivyoainishwa katika muundo wa gharama za taasisi husika ikijumuisha kompyuta mpakato mpya kabisa.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 9 10 11 12 13 … 15
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.