Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Best Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: August 2, 2024In: Ajira

    Sifa za Fundi Sanifu (Umeme) Katika Ajira Utumishi ni zipi?

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 2, 2024 at 6:42 pm

    Mshahara wa Fundi Sanifu (Umeme) 2024 Ni upi mshahara wa mtu aliesomea Maswala ya Fundi Sanifu (Umeme)? Ngazi ya mshahara ni TGS C yaani Tshs. 350,000.00 mpaka 490,000.00 na kuendelea kwa kila mwezi. Hii hulipwa kwa kulingana na Elimu.

    Mshahara wa Fundi Sanifu (Umeme) 2024

    Ni upi mshahara wa mtu aliesomea Maswala ya Fundi Sanifu (Umeme)?
    Ngazi ya mshahara ni TGS C yaani Tshs. 350,000.00 mpaka 490,000.00 na kuendelea kwa kila mwezi. Hii hulipwa kwa kulingana na Elimu.

    See less
    • -4
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: August 2, 2024In: Ajira

    Walioitwa Kazini Utumishi – 02-08-2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 2, 2024 at 5:52 pm

    Kuitwa kazini Utumishi 2024 Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya URead more

    Kuitwa kazini Utumishi 2024

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 31, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Halmashauri Mbalimbali – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 31, 2024 at 8:30 pm

    Ajira Mpya za Halmashauri 2024 Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detail C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika; Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili amRead more

    Ajira Mpya za Halmashauri 2024

    Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detail C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika;

    Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 31, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Manispaa ya Singida – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 31, 2024 at 7:40 pm

    Ajira Mpya Manispaa ya Singida 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 13 Agosti, 2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - - Mkurugenzi wa Manispaa Halma 236, SINGIDA

    Ajira Mpya Manispaa ya Singida 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 13 Agosti, 2024
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –
    –
    Mkurugenzi wa Manispaa
    Halma 236,
    SINGIDA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 31, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Kilolo – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 31, 2024 at 6:38 pm

    Ajira Mpya Kilolo 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 12 Agosti, 2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: Mkurugenzi Mtendaji (W), Halmashauri ya Wilaya Kilolo, S.L.P. 2324, KILOLO.

    Ajira Mpya Kilolo 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 12 Agosti, 2024

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:

    Mkurugenzi Mtendaji (W),
    Halmashauri ya Wilaya Kilolo,
    S.L.P. 2324,
    KILOLO.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 31, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Chemba – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 31, 2024 at 8:48 am

    Ajira Mpya Chemba 2024 - Nafasi za Halmashauri Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 07 Agosti, 2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: MKURUGENZI MTENDAJI (W) HALMASHAURI YA WILAYA YA CHERead more

    Ajira Mpya Chemba 2024 – Nafasi za Halmashauri

    Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 07 Agosti, 2024
    MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:

    MKURUGENZI MTENDAJI (W)
    HALMASHAURI YA WILAYA YA CHEMBA
    S.L.P 830
    CHEMBA – DODOMA.

    See less
    • -2
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: May 9, 2025In: Ajira

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa Vijana

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 31, 2024 at 8:12 am
    This answer was edited.

    Utaratibu wa Kujiunga na jeshi JWTZ 2025 / 2026 Askari atapewa nambari ya utumishi baada ya kufaulu mafunzo ya awali. Atalitumikia Jeshi kwa kipindi cha mwanzo cha miaka sita, baada ya hapo atafanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili miwili kwa kibali cha Mkuu wa Majeshi. Kwa maelezo mengine tembeleaRead more

    Utaratibu wa Kujiunga na jeshi JWTZ 2025 / 2026

    Askari atapewa nambari ya utumishi baada ya kufaulu mafunzo ya awali.

    Atalitumikia Jeshi kwa kipindi cha mwanzo cha miaka sita, baada ya hapo atafanya kazi kwa mkataba wa miaka miwili miwili kwa kibali cha Mkuu wa Majeshi.

    Kwa maelezo mengine tembelea tovuti ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.

    See less
    • 2
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: May 9, 2025In: Ajira

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 – Ajira Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 30, 2024 at 8:44 pm

    Nafasi za Jeshini 2024 - Nafasi za kujiunga na Jeshi 2024 JWTZ UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI JESHINI (JWTZ) Utaratibu wa kutuma maombi ni ufuatao:- a. Kwa vijana waliopo katika makambi ya JKT 'Operesheni General Venance Mabeyo' taratibu zao zitatainishwa na Makao Makuu ya Jeshi. b. Kwa vijana waliohitiRead more

    Nafasi za Jeshini 2024 – Nafasi za kujiunga na Jeshi 2024 JWTZ

    UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI JESHINI (JWTZ)
    Utaratibu wa kutuma maombi ni ufuatao:-

    a. Kwa vijana waliopo katika makambi ya JKT ‘Operesheni General Venance Mabeyo’ taratibu zao zitatainishwa na Makao Makuu ya Jeshi.
    b. Kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Makambi ya JKT, maombi yao yaandikwe kwa mkono na kuwasilishwa Makao Makuu ya Jeshi Dodoma kuanzia tarehe 01 Agosti, 2024 hadi tarehe 14 Agosti, 2024 wakiwa na vivuli vya nyaraka zifuatazo:-

    (1) Nakala ya kitambulisho cha Taifa au namba ya NIDA.
    (2) Nakala ya cheti cha kuzaliwa.
    (3) Nakala za vyeti vya shule.
    (4) Nakala ya cheti cha JKT.
    (5) Picha nne (4) za rangi ya ukubwa wa pasipoti.

    See less
    • -46
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 30, 2024In: Ajira

    Nafasi 50 za Wakusanya Taarifa za Majengo Manispaa ya Kigamboni

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 30, 2024 at 5:44 pm

    Nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni 2024 - Kukusanya Taarifa za Majengo JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA KAZI Barua zote za maombi ya kazi zielekezwe kwa: Mkurugenzi wa Manispaa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni S.L.P 36009 2 Barabara ya Mashujaa 17882 KIGAMBONI Barua zote za maombi ya kazi zipitishweRead more

    Nafasi za kazi Manispaa ya Kigamboni 2024 – Kukusanya Taarifa za Majengo

    JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA KAZI
    Barua zote za maombi ya kazi zielekezwe kwa:

    Mkurugenzi wa Manispaa
    Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni
    S.L.P 36009
    2 Barabara ya Mashujaa
    17882 KIGAMBONI
    Barua zote za maombi ya kazi zipitishwe na Mtendaji wa Mtaa anapoishi mwombaji;

    Upande wa mbele wa Bahasha ya maombi, eneo la juu kulia landikwe: Kumb. Na. DA.215/386/02/24;

    Barua za maombi zipelekwe katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata unayoomba;

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni siku ya Jumanne tarehe 31 Julai 2024, saa 9:00 Alasiri.

    Erasto N. Kiwale
    MKURUGENZI WA MANISPAA
    (HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGAMBONI)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 30, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Busokelo – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 30, 2024 at 11:47 am

    Ajira Mpya Busokelo 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- MKURUGENZI MTENDAJI (W), HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO S.LP. 2 TUKUYU.

    Ajira Mpya Busokelo 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    MKURUGENZI MTENDAJI (W),
    HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSOKELO
    S.LP. 2
    TUKUYU.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 3 4 5 6 7 … 15
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 270
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 15 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
  • Erick
    Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
  • Erick
    Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.