Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Best Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
    • About
    • Questions
    • Polls
    • Answers
    • Best Answers
    • Asked Questions
    • Groups
    • Joined Groups
    • Managed Groups
  1. Asked: July 25, 2024In: Elimu

    Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Mafunzo ya Ualimu 2024/2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 4:43 pm

    Huu mwongozo unapatikana katika tovuti ya Wizara ya Elimu Tanzania AINA YA MAFUNZO (KOZI) Stashahada Maalumu ya Ualimu Elimu ya Msingi katika masomo ya Sayansi na Hisabati (Miaka 03) VYUO VINAVYOTOA MAFUNZO: Monduli, Butimba, Klerruu, Songea, Tukuyu, Kasulu, Mpwapwa, Morogoro, Korogwe naTabora.

    Huu mwongozo unapatikana katika tovuti ya Wizara ya Elimu Tanzania

    AINA YA MAFUNZO (KOZI)
    Stashahada Maalumu ya Ualimu Elimu ya Msingi katika masomo ya Sayansi na Hisabati (Miaka 03)
    VYUO VINAVYOTOA MAFUNZO: Monduli, Butimba, Klerruu, Songea, Tukuyu, Kasulu, Mpwapwa, Morogoro, Korogwe naTabora.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 25, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kutuma Maombi Mafunzo ya Ualimu 2024/2025 – MOEST TCMS

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 2:15 pm

    Mfumo wa maombi ya mafunzo ya Ualimu 2024 Karibu kwenye Tovuti ya Wanafunzi ya TCMS. Kupitia tovuti hii utaweza kuomba kudahiliwa katika kozi mbalimbali zinazotolewa na Vyuo vya Ualimu, Kujiandikisha kwa ajili ya masomo katika kila muhula, Kuangalia matokeo ya mitihani na huduma nyinginezo binafsi.Read more

    Mfumo wa maombi ya mafunzo ya Ualimu 2024
    Karibu kwenye Tovuti ya Wanafunzi ya TCMS. Kupitia tovuti hii utaweza kuomba kudahiliwa katika kozi mbalimbali zinazotolewa na Vyuo vya Ualimu, Kujiandikisha kwa ajili ya masomo katika kila muhula, Kuangalia matokeo ya mitihani na huduma nyinginezo binafsi.

    Uchunguzi
    Kwa uchunguzi wowote wa kutumia mfumo au mchakato wa udahili piga 0737 962 965 au tuma barua pepe kwa info@moe.go.tz

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 25, 2024In: Elimu

    Nafasi za Mafunzo ya Ualimu 2024/2025 – Wizara ya Elimu Tanzania

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 1:48 pm

    AINA YA MAFUNZO NA VYUO VINAVYOTOA MAFUNZO YA UALIMU 2024 Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya Jamii (kwa kutumia lugha ya kiswahili) - Mhonda, Murutunguru na Vikindu Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya Jamii (kwa kutumia lugha ya kingereza) - Mpuguso naRead more

    AINA YA MAFUNZO NA VYUO VINAVYOTOA MAFUNZO YA UALIMU 2024

    Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya Jamii (kwa kutumia lugha ya kiswahili) – Mhonda, Murutunguru na Vikindu
    Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya Jamii (kwa kutumia lugha ya kingereza) – Mpuguso na Shinyanga
    Stashahada ya Ualimu Elimu ya Msingi mchepuo wa Sayansi ya jamii na lugha ya kiswahili (kwa kutumia lugha ya kiswahili). – Bunda naTandala

    See less
    • -2
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Mji Masasi – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 1:23 pm

    Ajira Mpya Masasi 2024 Wakatakao kidhi Sifa zinazotakiwa ndio pekee watakaoitwa katika Usahili. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 06/08/2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi wa Mji, HalmaRead more

    Ajira Mpya Masasi 2024

    Wakatakao kidhi Sifa zinazotakiwa ndio pekee watakaoitwa katika Usahili.
    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 06/08/2024

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi wa Mji,
    Halmashauri ya Mji Masasi,
    S.L.P 447,
    MASASI.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya Wilaya ya Mpimbwe – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 10:27 am

    NAFASI ZA KAZI MPIMBWE JULAI 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agost, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya Mpimbwe, S.L.P. 245, MPANDA

    NAFASI ZA KAZI MPIMBWE JULAI 2024.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agost, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-
    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya Mpimbwe,
    S.L.P. 245, MPANDA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya Wilaya ya Muleba – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 9:44 am

    NAFASI ZA KAZI MULEBA JULAI 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 06 Julai, 2024. MUHIMU. Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ya; - MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA MULEBA, S.L.P 131, MULEBA

    NAFASI ZA KAZI MULEBA JULAI 2024.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 06 Julai, 2024.
    MUHIMU. Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa na ielekezwe kwa anuani ya; –
    MKURUGENZI MTENDAJI,
    HALMASHAURI YA WILAYA MULEBA,
    S.L.P 131,
    MULEBA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 24, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya NBC Bank Tanzania – Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 24, 2024 at 7:59 pm

    Nafasi za kazi NBC Bank Tanzania July 2024 Mawazo ya kibiashara - Junior (Hukidhi mahitaji yote), Ubora wa Wateja - Utoaji Huduma (Hukidhi mahitaji yote), Mawasiliano madhubuti - Msingi (Hukidhi mahitaji yote), Akili ya Kihisia (Hukidhi mahitaji yote), Uzoefu katika mazingira sawa, Cheti cha Elimu nRead more

    Nafasi za kazi NBC Bank Tanzania July 2024

    Mawazo ya kibiashara – Junior (Hukidhi mahitaji yote), Ubora wa Wateja – Utoaji Huduma (Hukidhi mahitaji yote),
    Mawasiliano madhubuti – Msingi (Hukidhi mahitaji yote), Akili ya Kihisia (Hukidhi mahitaji yote),
    Uzoefu katika mazingira sawa, Cheti cha Elimu na Mafunzo ya Zaidi (FETC) – Masomo ya Biashara, Biashara na Usimamizi, Uwazi kubadilika (Hukidhi baadhi ya mahitaji na ingehitaji maendeleo zaidi),
    Bidhaa na/au Maarifa ya Huduma (Hukidhi mahitaji yote), Kutoa Sababu (Hukidhi mahitaji yote)

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 24, 2024In: Ajira

    Walioitwa kazini Utumishi (PSRS) – Majina 24-07-2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 24, 2024 at 5:21 pm

    KUITWA KAZINI UTUMISHI - MAJINA YA WALIOITWA TAASISI MBALIMBALI. Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, KitamRead more

    KUITWA KAZINI UTUMISHI – MAJINA YA WALIOITWA TAASISI MBALIMBALI.

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 24, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi ITDP Tanzania – Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 24, 2024 at 2:15 pm

    AJIRA MPYA ITDP TANZANIA 2024. JINSI YA KUOMBA Waombaji wanaovutiwa wanaweza kutuma maombi kwa kutuma habari ifuatayo kwa africajobs@itdp.org na "Mshirika Mwandamizi, Mawasiliano, [Nchi Inayopendekezwa]" katika mada: CV na barua ya jalada. Mifano ya michoro ya mitandao ya kijamii au kampeni nyingineRead more

    AJIRA MPYA ITDP TANZANIA 2024.

    JINSI YA KUOMBA

    Waombaji wanaovutiwa wanaweza kutuma maombi kwa kutuma habari ifuatayo kwa africajobs@itdp.org na “Mshirika Mwandamizi, Mawasiliano, [Nchi Inayopendekezwa]” katika mada:

    CV na barua ya jalada.
    Mifano ya michoro ya mitandao ya kijamii au kampeni nyinginezo.
    Nakala iliyoandikwa na kuchapishwa.
    Tunapendelea sana sampuli zinazohusishwa na mwombaji pekee.

    MWISHO WA MAOMBI

    Kukubali kunaendelea hadi nafasi ijazwe.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 24, 2024In: Elimu

    Jezi Mpya za Simba SC 2024/25 Ligi Kuu NBC

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 24, 2024 at 12:51 pm

    HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA 2024 - KUELEKEA LIGI KUU TANZANIA Bei za jezi mpya za simba sc 2024/2025. Jezi mpya za Simba SC zimepokelewa kwa shangwe na nderemo na mashabiki. Wengi wamesifu ubunifu na rangi, wakisema kuwa jezi hizi zinatoa muonekano mpya wa kisasa kwa klabu. Pia, ubora wa vitambaa uRead more

    HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA 2024 – KUELEKEA LIGI KUU TANZANIA
    Bei za jezi mpya za simba sc 2024/2025.
    Jezi mpya za Simba SC zimepokelewa kwa shangwe na nderemo na mashabiki. Wengi wamesifu ubunifu na rangi, wakisema kuwa jezi hizi zinatoa muonekano mpya wa kisasa kwa klabu. Pia, ubora wa vitambaa umetajwa kama moja ya mambo yanayovutia zaidi, huku wengi wakifurahia kuvaa jezi hizi hata nje ya viwanja vya soka.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 6 7 8 9 10 … 15
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.