Naomba kujua ni kipi kinaendelea katika malalamiko ya matokeo ya usaili TRA. Mimi hata namba yangu sikuiona kwenye matokeo jamani hii ni shida sana.
Habari Times Latest Questions

Nafasi za kazi JWTZ 2025, Kujiunga na Jeshi la wananchi Tanzania Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa Vijana kwa Watanzania wenye nia na sifa zilizo tajwa hapa chini. TANGAZO LA NAFASI ZA JESHINI 2025

Leo Aprili 30, 2024 JWTZ Wametangaza Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 – Ajira Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa kitanza nchi wenye ...

Leo sekretarieti ya ajira imetangaza nafasi za kazi Nafasi za Kazi Wilaya ya Kakonko – Utumishi September 2024. Mkurugenzi Mtendaji amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 kutoka kwa ...

Nafasi za Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa anawatangazia Watumishi wa Umma wote nafasi za kazi kwa ajili ya shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024 Nafasi zinazotangazwa ni:- Msimamizi wa Kituo Afisa Mwandikishaji ...

TAARIFA: Kubadili Taarifa Waombaji Kazi Kada Ya Elimu. Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, inapenda kuwajulisha wale wote walioomba kazi ya kufundisha katika Mikoa tofauti tofauti kuwa, imetoa siku tatu kuanzia terehe 14 mpaka16 Septemba, 2024 ...

Link za Magroup ya WhatsApp kwa walimu walioitwa kwenye usaili wa Utumishi ni njia muhimu ya mawasiliano na ushirikiano kati ya walimu wanaotafuta nafasi za kazi serikalini. Kupitia magroup haya, walimu wanaweza kushirikishana taarifa za muhimu kama tarehe za usaili, ...

Orodha ya majina ya walioitwa au Kuitwa Kazini Utumishi Leo 10.09.2024. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 13-05-2023 na tarehe 04-06-2024 kuwa matokeo ya waombaji ...
Leo tarehe 23/08/2024 sekretarieti ya ajira wametangaza ajira mpya au Nafasi za Kazi Wilaya ya Tanganyika – Utumishi Agosti 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika amepokea Kibali cha Ajra mpya kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais ...
Leo, Sekretarieti ya ajira imetangaza ajira mpya au Nafasi za Kazi Manispaa ya Tabora – Utumishi Agosti 2024. Mkurugenzi wa Manispaa amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 kutoka ...