Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 1539
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 15, 20242024-07-15T17:13:54+00:00 2024-07-15T17:13:54+00:00In: Vyuo Vikuu Tanzania

TCU Udahili wa Vyuo Vikuu Tanzania 2024

  • 0

KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UDAHILI KWA WAOMBAJI WA SHAHADA YA KWANZA KATIKA TAASISI ZA ELIMU YA JUU NCHINI TANZANIA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inapenda kufahamisha umma, Taasisi za Elimu ya Juu na Wadau wote wa Elimu ya juu ndani na nje ya nchi kuwa dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 limefunguliwa kuanzia leo tarehe 15/7/2024. Dirisha hili litakuwa wazi hadi tarehe 10/8/2024.

Maombi ya udahili TCUMaombi ya vyuo TanzaniaTCUTume ya Vyuo Vikuu TanzaniaUdahili TCUVyuo Vikuu Tanzania
  • 5 5 Answers
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    5 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-15T17:20:47+00:00Added an answer on July 15, 2024 at 5:20 pm
      This answer was edited.

      Masuala Muhimu ya Kuzingatiwa na Waombaji Udahili TCU

      a) Kusoma kwa makini na kuelewa mwongozo wa udahili uliotolewa na TCU pamoja na maelekezo mahsusi ya vyuo kabla ya kuanza kutuma maombi ya udahili.
      b) Kuingia katika tovuti za vyuo na kuwasiliana na vyuo moja kwa moja ili kujua taratibu za kutuma maombi na kupata taarifa za kina kuhusu programu za masomo ili kujiandikisha kabla ya kutuma maombi.
      c) Kutuma maombi moja kwa moja vyuoni kupitia mifumo ya kielekroniki iliyowekwa na vyuo husika.
      d) Waombaji wenye vyeti vilivyotolewa na mabaraza ya mitihani nje ya nchi wanapaswa kuwasilisha vyeti vyao katika Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwa vyeti vya Elimu ya Sekondari au Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kwa vyeti vya Stashahada ili kupata ithibati ya ulinganifu wa sifa zao kabla ya kutuma maombi ya udahili.

      Tume inawahimiza waombaji wote wa udahili kuendelea kupata taarifa sahihi kupitia tovuti ya TCU http://www.tcu.go.tz , tovuti za vyuo vilivyohusika kudahili wanafunzi wa Shahada ya Kwanza, pamoja na taarifa mbalimbali zinazotolewa na TCU kupitia vyombo vya habari.

      • 1
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    2. Erick
      Erick
      2024-07-15T17:17:36+00:00Added an answer on July 15, 2024 at 5:17 pm
      This answer was edited.

      JINSI YA KUTUMA MAOMBI YA UDAHILI TCU 2024/2025
      UTARATIBU WA MAOMBI YA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

      Makundi ya Waombaji wa Udahili
      Maombi ya udahili wa kujiunga na Shahada ya Kwanza yanahusisha makundi matatu ya waombaji:
      a) Wenye sifa stahiki za Kidato cha Sita;
      b) Wenye sifa stahiki za Stashahada (Ordinary Diploma), au sifa linganifu;
      c) Wenye sifa stahiki za Cheti cha Awali (Foundation Certificate) cha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

      Ili kufahamu sifa stahiki kwa makundi matatu yaliyotajwa hapo juu, vyuo na programu zilizoidhinishwa kudahili, waombaji wanapaswa kusoma vigezo vilivyooneshwa katika vitabu vya mwongozo wa maombi ya udahili vinavyotolewa na TCU (Bachelor’s Degree Admission Guidebooks for 2024/2025 Academic Year) vinavyopatikana katika tovuti ya TCU http://www.tcu.go.tz

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    3. Erick
      Erick
      2024-07-15T17:18:37+00:00Added an answer on July 15, 2024 at 5:18 pm

      Utaratibu wa Kutuma Maombi ya Udahili TCU

      a) Maombi yatumwe moja kwa moja kwenye vyuo ambavyo mwombaji amevichagua kwa kuzingatia programu za masomo anazozipenda.
      b) Maelekezo mahsusi ya jinsi ya kutuma maombi yanatolewa na vyuo husika.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    4. Erick
      Erick
      2024-07-15T17:19:46+00:00Added an answer on July 15, 2024 at 5:19 pm
      This answer was edited.

      Vigezo na Sifa za Waombaji Udahili

      Vigezo na sifa katika programu mbalimbali za masomo vinapatikana katika tovuti za vyuo husika na katika vitabu vya mwongozo wa maombi ya udahili vinavyopatikana katika tovuti ya TCU http://www.tcu.go.tz

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    5. Erick
      Erick
      2024-07-15T17:21:45+00:00Added an answer on July 15, 2024 at 5:21 pm

      Tume inatoa wito kwa waombaji wote wa Shahada ya Kwanza, endapo watahitaji kupata ufafanuzi wa suala lolote linalohusu udahili, wawasiliane moja kwa moja na vyuo husika. Aidha, iwapo watahitaji maelezo ya jumla wanaweza kuwasiliana na TCU kwa kutumia barua pepe es@tcu.go.tz.

      Pia, TCU inawaasa wananchi kuepuka kutapeliwa na watu wanaojiita mawakala au washauri wanaodai wanatoa huduma za jinsi ya kujiunga na vyuo vya elimu ya juu hapa nchini.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Orodha ya Vyuo Vikuu Bora Zaidi Tanzania 2024/2025 - TCU

      • 1 Answer
    • Erick

      Orodha ya Vyuo Vikuu Tanzania Chini ya TCU

      • 1 Answer
    • Erick

      Waliochaguliwa na TAMISEMI kujiunga na Chuo cha IFM

      • 1 Answer
    • Erick

      Chuo Kikuu cha Mzumbe

      • 2 Answers
    • Erick

      Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

      • 2 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.