Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 3532
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 1
Erick
Asked: August 10, 20242024-08-10T19:11:14+00:00 2024-08-10T19:11:14+00:00In: Elimu

Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025

  • 1

TANGAZO LA UFADHILI WA KUJIENDELEZA KWA WATUMISHI WA UMMA KADA ZA AFYA KUPITIA ‘DKT SAMIA HEALTH SPECIALIZATION SCHOLARSHIP PROGRAM’ KWA MWAKA 2024/2025

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Afya nchini kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya zikiwemo huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi hapa nchini. Uwekezaji katika Sekta ya Afya kwenye ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kutoa huduma za afya, ajira za wataalamu wa afya, ununuzi wa dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi unatakiwa kwenda sambamba na kuendeleza wataalamu wa afya ili waweze kutoa huduma bora za matibabu ikiwemo ya matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi kwa wananchi.

Ufadhili wa Watumishi Kada ya Afya

Ufadhili wa Kujiendelea kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025
Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025

Katika kufanikisha azma ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha huduma za kibingwa na kibobezi nchini, Wizara ya Afya imejiwekea lengo la kusomesha wataalamu wapya wa afya wasiopungua 300 katika ngazi za ubingwa na ubingwa bobezi kwa kila mwaka wa fedha kupitia Mpango wa Ufadhili unaojulikana kama Dkt Samia Health Specialisation Scholarship Program in Tanzania. Hivyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anawatangazia watumishi wote waliopata udahili wa kusoma masomo ya Shahada ya Uzamili katika fani za afya kwa mwaka 2024/2025 kwamba Dirisha la Maombi ya Ufadhili wa Masomo kupitia Dkt Samia Health Specialization Scholarship Program 2024 limefunguliwa. Wizara itaanza kupokea maombi ya ufadhili kuanzia tarehe 09/08/2024 hadi tarehe 31/08/2024. Maombi hayo yatawasilishwa kwa njia ya kielektroniki kwa kutumia ‘link‘ iliyotolewa kwenye tangazo hili. Maombi yatakayofanyiwa kazi ni yale yatakayowasilishwa kwa njia ya mfumo huo tu. Hivyo, waombaji waliowasilisha maombi yao kabla ya tangazo hili wanapaswa kufuata utaratibu huu.

Bonyeza hapa kudownload tangazo la udahili kwa watumishi wa Umma kada za Afya

Kujiendelea kada za afyaUfadhili Kada za AfyaUfadhili kwa watumishiUfadhili watumishi wa umma
  • 3 3 Answers
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    3 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Erick
      2024-08-10T19:17:55+00:00Added an answer on August 10, 2024 at 7:17 pm
      This answer was edited.

      Aidha, mwombaji atatakiwa awe ameambatisha nakala halisi za nyaraka zifuatazo wakati wa kufanya maombi ya ufadhili wa kujiendeleza kada ya Afya 2024/2025: –

      a. Barua ya ruhusa kwenda masomoni kutoka kwa mwajiri wake.
      b. Barua ya udahili kutoka chuoni.
      c. Cheti cha taaluma cha sasa (current academic qualification).
      d. Cheti cha usajili na leseni hai kutoka kwenye Baraza la taaluma husika.
      e. Cheti cha kuzaliwa.
      f. Kitambulisho cha Taifa (NIDA).

      Maombi yote yawasilishwe kwa kutumia ‘link’ ifuatayo: https://esponsorship.moh.go.tz/

      MUHIMU: Kama ilivyoelekezwa hapo juu, mwisho wa kupokea maombi haya ni tarehe
      31/08/2024.
      Imetolewa na: –
      KATIBU MKUU,
      WIZARA YA AFYA,
      Mji wa Serikali Mtumba,
      Barabara ya Afya,
      S.L.P 743,
      40478 DODOMA.
      09/08/2024

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    2. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-08-10T19:16:16+00:00Added an answer on August 10, 2024 at 7:16 pm

      Vigezo vitakavyotumika kuwapata watakaofadhiliwa Ufadhili wa watumishi kada za afya ni kama ifuatavyo: –

      1. Kuwasilishwa kwa maombi rasmi ya ufadhili kwa njia ya mfumo (Post-graduate Sponsorship Online Application System).
      2. Mwombaji awe ni Raia wa Tanzania.
      3. Awe mtumishi wa Serikali.
      4. Awe ana barua ya udahili (admission letter) kutoka kwenye chuo kinachotambuliwa na Serikali ndani au nje ya nchi.
      5. Awe anakwenda kusoma masomo ya ubingwa (specialization) au ubingwa bobezi (super-specialization).
      6. Mwombaji awe ametimiza miaka mitatu tangu alipoajiriwa (barua ya ajira na kuthibitishwa kazini iambatishwe wakati wa maombi).
      7. Ufadhili utazingatia uhitaji unaotokana na uhaba wa taaluma/fani anayokwenda kusoma mtumishi kwenye kituo husika. Kwa mantiki hiyo, kipaumbele cha kupata ufadhili itategemea upungufu wa taaluma aliyoomba kwenda kusoma kwenye kituo chake cha kazi.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    3. Erick
      Erick
      2024-08-10T19:14:45+00:00Added an answer on August 10, 2024 at 7:14 pm

      UFADHILI WA WATUMISHI WA UMMA KADA YA AFYA 2024 – DKT SAMIA HEALTH SPECIALIZATION SCHOLARSHIP PROGRAM

      Wataalamu watakaopata ufadhili wa masomo kwa vyuo vya nje ya nchi watalipiwa ada ya mafunzo, posho ya kujikimu, nauli pamoja na posho ya utafiti. Wataalamu watakaopata ufadhili masomo katika vyuo vya ndani ya nchi watalipiwa ada ya mafunzo na posho ya utafiti pindi mtaalamu husika atapokuwa kwenye kipindi cha kufanya utafiti kama sehemu ya mafunzo yake. Malipo ya posho ya utafiti na posho ya kujikimu yatazingatia viwango vilivyopangwa na Wizara.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Fomu ya Ombi la Cheti Mbadala NECTA - Baraza la ...

      • 1 Answer
    • Erick

      NECTA Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2024-25 CSEE ...

      • 1 Answer
    • Erick

      NECTA Fomati ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi Darasa ...

      • 1 Answer
    • Erick

      Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Mafunzo ya Ualimu 2024/2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Jinsi ya Kutuma Maombi Mafunzo ya Ualimu 2024/2025 - MOEST ...

      • 1 Answer

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.