Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2822
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 1
Erick
Asked: July 29, 20242024-07-29T10:09:49+00:00 2024-07-29T10:09:49+00:00In: Ajira

Sifa za Afisa Ununuzi Katika Ajira Utumishi ni zipi?

  • 1

Kama wewe ni mwomba ajira katika Sekretarieti ya Ajira katika OR-Utumishi wa Umma, Basi hizi ndizo Sifa za Afisa Ununuzi Katika Ajira Utumishi.

Afisa Ununuzi ni mtaalamu anayehusika na mchakato wa manunuzi ndani ya serikali, shirika au kampuni. Majukumu yake ni pamoja na kutafuta na kuchagua wasambazaji bora, kujadiliana bei na masharti ya ununuzi, na kuhakikisha kuwa bidhaa na huduma zinazohitajika zinapatikana kwa wakati na kwa gharama nafuu. Afisa Ununuzi pia anasimamia mikataba na kuhakikisha kuwa masharti yote yanazingatiwa, pamoja na kudumisha rekodi za manunuzi kwa ajili ya uwazi na ufuatiliaji.

Mbali na hayo, Afisa Ununuzi anahakikisha kuwa michakato ya ununuzi inafuata sera na taratibu za serikali au shirika, na pia anahusika na kutathmini ubora wa bidhaa na huduma zinazopatikana. Kwa kufanya hivyo, wanasaidia katika kudhibiti gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi wa shughuli za shirika. Wanafanya kazi kwa karibu na idara nyingine kama vile fedha, utawala, na uzalishaji ili kuhakikisha kwamba mahitaji yote ya vifaa na huduma yanatimizwa kwa wakati muafaka na kwa viwango vinavyokubalika.

Sifa: Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza/Stashahada ya Juu ya Ununuzi na Ugavi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali AU wenye “Professional level Ill” inayotolewa na Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini (Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board – (PSPTB); au sifa nyingine inayolingana na hiyo inayotambuliwa na PSPTB na awe aliyesajiliwa na PSPTB kama “Graduate Procurement and Supplies Professional”.

Afisa UnunuziAjira za Afisa UnunuziNafasi za Afisa UnunuziSifa za Afisa Ununuzi
  • 1 1 Answer
  • 820 Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-29T10:15:34+00:00Added an answer on July 29, 2024 at 10:15 am

      Mshahara wa Afisa Ununuzi au Ugavi 2024/2025

      Ni upi mshahara wa mtu aliesomea Maswala ya Afisa Ununuzi?
      Ngazi ya mshahara ni TGS D yaani Tshs. .510,000.00 na kuendelea kwa kila mwezi. Hii hulipwa kwa kulingana na Elimu.

      • -5
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 271
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Janeth N Mafie
      Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm

    Related Questions

    • Erick

      Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi - Ajira za ...

      • 3 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.