Hivi hapa Viwango vya Mishahara 2025-2026 Serikalini Katika mwaka wa 2025, viwango vya mishahara serikalini vimepata mabadiliko makubwa, hasa kwa walimu na watumishi wa sekta ya afya. Mabadiliko haya yanayowekwa na Utumishi yanalenga kuboresha hali ya maisha ya wafanyakazi hawa ...
Habari Times Latest Articles
Walioitwa Kazini Bunge La Tanzania – Utumishi 2024

Leo kutoka Sekretarieti ya Ajira imetangaza orodha ya majina ya Walioitwa Kazini Bunge La Tanzania – Utumishi 2024. Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji ...
Nafasi za Kazi Wilaya ya Sumbawanga – Utumishi Agosti 2024
Leo kutoka sekretarieti ya ajira (PSRS), Pitia tangazo la ajira mpya katika Nafasi za Kazi Sumbawanga – Utumishi Agosti 2024. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kwa kuzingatia kibali cha ajira chenye Kumb.Na. FA.97/228/01/09 cha tarehe 25/06/2024 kutoka ...
Nafasi za kazi Manispaa ya Shinyanga

Nafasi za kazi Manispaa ya Shinyanga; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia barua yenye Kumb.Na.FA. 97/288/01/09 ya tarehe ...
NECTA Matokeo ya kidato cha Sita 2024-25 ACSEE Results Yametoka

Matokeo ya Kidato cha Sita 2024; yanayojulikana pia kama Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE), ni matokeo ya mtihani yanayotarajiwa kwa hamu kubwa nchini Tanzania. Matokeo ya form six 2024 yana jukumu muhimu katika kuamua sifa za wanafunzi kujiunga ...