Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 23, 2024In: Elimu

    Jinsi ya kulipa Deni la Traffic – TMS Jinsi ya kulipia deni la Gari

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 11:11 pm

    Jinsi ya Kulipa Faini za Traffic Tanzania Pata Taarifa ya Faini: Mara tu unapopata taarifa ya faini, hakikisha una namba ya kumbukumbu ya faini yako. Mara baada ya kulipa, utapokea risiti ya malipo kupitia SMS au barua pepe. Hifadhi risiti hii kwa ajili ya kumbukumbu na kama uthibitisho wa malipo yaRead more

    Jinsi ya Kulipa Faini za Traffic Tanzania

    Pata Taarifa ya Faini: Mara tu unapopata taarifa ya faini, hakikisha una namba ya kumbukumbu ya faini yako.
    Mara baada ya kulipa, utapokea risiti ya malipo kupitia SMS au barua pepe. Hifadhi risiti hii kwa ajili ya kumbukumbu na kama uthibitisho wa malipo yako.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 23, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kupata TIN Namba TRA – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 10:26 pm

    Ikiwa mimi ninayo TIN tayari kuna haja ya kupata TIN Namba kwa ajili ya ajira? Hapana TIN hiyo ya mwanzo ndio itatumika na TIN huwa ni moja kwa mtu mmoja.

    Ikiwa mimi ninayo TIN tayari kuna haja ya kupata TIN Namba kwa ajili ya ajira?
    Hapana TIN hiyo ya mwanzo ndio itatumika na TIN huwa ni moja kwa mtu mmoja.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 23, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kupata TIN Namba TRA – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 10:24 pm

    TIN namba huitajika kwenye malipo gani? Hutumika kwenye malipo ya kodi katika biashara, ajira, uwekezaji na pia katika malipo yasiyohusu kodi mfano ada ya leseni ya udereva.

    TIN namba huitajika kwenye malipo gani?
    Hutumika kwenye malipo ya kodi katika biashara, ajira, uwekezaji na pia katika malipo yasiyohusu kodi mfano ada ya leseni ya udereva.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 23, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kupata TIN Namba TRA – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 10:24 pm

    Kuna matumizi ya aina ngapi ya TIN? Kuna aina mbili ya matumizi ya TIN ambayo ni ya kibiashara na yasiyo ya kibiashara.

    Kuna matumizi ya aina ngapi ya TIN?
    Kuna aina mbili ya matumizi ya TIN ambayo ni ya kibiashara na yasiyo ya kibiashara.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 23, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kupata TIN Namba TRA – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 10:23 pm

    Nini maana ya TIN? TIN ni namba ya utambulisho wa mlipakodi.

    Nini maana ya TIN?
    TIN ni namba ya utambulisho wa mlipakodi.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 23, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Wilaya Mufindi – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 6:20 pm

    AJIRA MPYA MUFINDI - NAFASI ZA HALMASHAURI 2024. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04/08/2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya Elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, S.L.Read more

    AJIRA MPYA MUFINDI – NAFASI ZA HALMASHAURI 2024.

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04/08/2024
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya Elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:

    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi,
    S.L.P 223,
    MAFINGA.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 23, 2024In: Communication

    Msimu wa 2024/25 | Jezi Mpya za Yanga SC 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 9:43 am

    Bei ya Jezi Mpya Za Yanga Msimu wa 2024/2025. Uongozi wa klabu ya Yanga kuptia matawi ya klabu hiyo umethibisha rasmi kuwa jezi mpya za Yanga zitapatikana kwa bei ya Tsh 32,000 kwa kila moja. Hivyo wananchi zinagtia bei hii ujioatie uzi mpya wenye mwonekano mzuri.

    Bei ya Jezi Mpya Za Yanga Msimu wa 2024/2025.

    Uongozi wa klabu ya Yanga kuptia matawi ya klabu hiyo umethibisha rasmi kuwa jezi mpya za Yanga zitapatikana kwa bei ya Tsh 32,000 kwa kila moja. Hivyo wananchi zinagtia bei hii ujioatie uzi mpya wenye mwonekano mzuri.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 23, 2024In: Usaili

    Mambo ya Kuzingatia Kabla na Wakati wa Usaili wa Jeshi la Polisi 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 8:38 am

    Vitu vya kuzingatia wakati wa usaili Jeshi la Polisi TANZANIA 2024. Wakati wa Usaili 1. Kuwa na Nidhamu na Muonekano Mzuri Mavazi: Va mavazi rasmi na nadhifu. Kumbuka kuonyesha heshima na nidhamu katika mavazi yako. Tabia: Onyesha nidhamu na heshima katika mazungumzo na matendo yako. 2. Kujibu MaswaRead more

    Vitu vya kuzingatia wakati wa usaili Jeshi la Polisi TANZANIA 2024.

    Wakati wa Usaili
    1. Kuwa na Nidhamu na Muonekano Mzuri
    Mavazi: Va mavazi rasmi na nadhifu. Kumbuka kuonyesha heshima na nidhamu katika mavazi yako.
    Tabia: Onyesha nidhamu na heshima katika mazungumzo na matendo yako.
    2. Kujibu Maswali kwa Ujasiri
    Ukweli: Jibu maswali kwa ukweli na usijaribu kudanganya.
    Ujasiri: Ongea kwa kujiamini na epuka kutetemeka.
    Uelewa: Elewa maswali vizuri kabla ya kujibu. Ikiwa hujaelewa swali, uliza ufafanuzi.
    3. Kujua Sheria na Taratibu za Jeshi la Polisi
    Sheria: Elewa sheria za nchi na jinsi zinavyotekelezwa na Jeshi la Polisi.
    Taratibu: Jua taratibu na kanuni za Jeshi la Polisi.
    4. Kujua Misingi ya Huduma kwa Umma
    Huduma Bora: Kuwa tayari kutoa huduma bora kwa wananchi.
    Kushughulikia Malalamiko: Elewa jinsi ya kushughulikia malalamiko na matatizo ya jamii kwa njia ya heshima na ufanisi.
    5. Kuwa Tayari kwa Kipimo cha Kimwili
    Mazoezi ya Awali: Hakikisha umefanya mazoezi ya kutosha kabla ya siku ya usaili.
    Afya Bora: Kuwa na afya bora na ushiriki kwenye vipimo vya kimwili kwa bidii.

    See less
    • -20
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 23, 2024In: Usaili

    Mambo ya Kuzingatia Kabla na Wakati wa Usaili wa Jeshi la Polisi 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 8:37 am

    Mambo ya kuzingatia kabla ya usaili jeshi la POLISI Tanzania 2024. Kabla ya Usaili 1. Kujua Mahitaji na Vigezo Elimu: Hakikisha una kiwango cha elimu kinachohitajika. Umri: Fahamu umri unaotakiwa kwa waombaji. Sifa za Kimwili: Jiandae kwa kipimo cha urefu, uzito, na uwezo wa kimwili. 2. Maandalizi yRead more

    Mambo ya kuzingatia kabla ya usaili jeshi la POLISI Tanzania 2024.

    Kabla ya Usaili
    1. Kujua Mahitaji na Vigezo
    Elimu: Hakikisha una kiwango cha elimu kinachohitajika.
    Umri: Fahamu umri unaotakiwa kwa waombaji.
    Sifa za Kimwili: Jiandae kwa kipimo cha urefu, uzito, na uwezo wa kimwili.
    2. Maandalizi ya Kimwili
    Mazoezi: Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara ili kujiweka sawa kimwili. Mazoezi haya ni pamoja na kukimbia, mazoezi ya nguvu, na mazoezi ya stamina.
    Lishe Bora: Kula chakula chenye lishe bora ili kuimarisha afya yako na uwezo wa kimwili.
    3. Maandalizi ya Kiakili
    Kusoma: Soma vitabu na makala kuhusu Jeshi la Polisi na sheria zake.
    Mazoezi ya Kiakili: Fanya mazoezi ya kutatua matatizo na maswali ya kiakili.
    4. Kuandaa Nyaraka Muhimu
    Vyeti: Hakikisha una nakala halisi na za nakala za vyeti vyote muhimu.
    Nyaraka za Utambulisho: Panga nyaraka zako kama vile cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha taifa, na vyeti vya afya.
    5. Kufanya Utafiti
    Kujua Taasisi: Fahamu historia na majukumu ya Jeshi la Polisi.
    Mchakato wa Usaili: Elewa hatua mbalimbali za usaili na kile kinachotarajiwa katika kila hatua.

    See less
    • -16
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 23, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Bakhresa | Ajira Mpya Kiwanda cha Bakhresa Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 23, 2024 at 7:19 am

    AJIRA MPYA KUTOKA BAKHRESA JULY 2024. Wagombea wenye sifa na wenye nia wanapaswa kutuma wasifu wao (CV) kupitia: recruitment@bakhresa.com kabla ya tarehe 29 Julai 2024. Tafadhali kumbuka kuwa NI WAGOMBEA WALIOORODHESHWA PEKEE ndio watakaowasiliana nao.

    AJIRA MPYA KUTOKA BAKHRESA JULY 2024.

    Wagombea wenye sifa na wenye nia wanapaswa kutuma wasifu wao (CV) kupitia: recruitment@bakhresa.com kabla ya tarehe 29 Julai 2024. Tafadhali kumbuka kuwa NI WAGOMBEA WALIOORODHESHWA PEKEE ndio watakaowasiliana nao.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 10 11 12 13 14 … 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.