Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Kasulu – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 8:32 am

    AJIRA MPYA KASULU. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024 x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya S.L.P 97 KASULU

    AJIRA MPYA KASULU.

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024
    x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    Mkurugenzi Mtendaji
    Halmashauri ya Wilaya
    S.L.P 97
    KASULU

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 17, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Rufiji – Utumishi July 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 17, 2024 at 8:52 pm

    Ajira Mpya Rufiji - Nafasi za Halmashauri Utumishi Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA, S.L.Read more

    Ajira Mpya Rufiji – Nafasi za Halmashauri Utumishi

    Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi
    iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo
    ielekezwe kwa: –

    MKURUGENZI MTENDAJI,
    HALMASHAURI YA WILAYA,
    S.L.P 28,
    UTETE/RUFIJI

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: May 9, 2025In: Ajira

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal – Utumishi 2025

    Erick
    Erick
    Replied to answer on July 17, 2024 at 2:27 pm

    Habari mkuu, Mimi naona hujasoma maelezo kila kitu kimeandikwa hapo jinsi ya kutatua changamoto yako. Kuna namba za huduma kwa wateja utumishi pia email ya kuwasiliana na kitengo cha utumishi (ICT).

    Habari mkuu,
    Mimi naona hujasoma maelezo kila kitu kimeandikwa hapo jinsi ya kutatua changamoto yako.
    Kuna namba za huduma kwa wateja utumishi pia email ya kuwasiliana na kitengo cha utumishi (ICT).

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 16, 2024In: Usaili

    Mabadiliko ya Usaili TCAA

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 11:26 am

    WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji (WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenRead more

    WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI.

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara
    (CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji
    (WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote
    walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 22-07-2024 hadi 24-07-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS)

    Erick
    Erick
    Replied to answer on July 16, 2024 at 10:52 am

    Endelea kuamini. Ipo siku utapata..

    Endelea kuamini. Ipo siku utapata..

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Golf Crest Hoteli

    Erick
    Erick
    Replied to answer on July 16, 2024 at 10:50 am

    Maombi yote ni kwa njia ya email

    Maombi yote ni kwa njia ya email

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 15, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Golf Crest Hoteli

    Erick
    Erick
    Replied to answer on July 16, 2024 at 12:51 am

    Wanaotakiwa ni watu wa mapokezi

    Wanaotakiwa ni watu wa mapokezi

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Jinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:44 am

    Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujazRead more

    Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB

    A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya http://www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujaza maombi ya mkopo wa siku tisini (90), kuanzia Juni 01 hadi Agosti 31, 2024, amesisitiza Dkt. Kiwia.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Jinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:42 am

    Ada ya Maombi ya Mkopo HESLB (Bodi ya Mikopo Tanzania) Waombaji wanapaswa kulipia ada ya maombi ya mkopo ya kiasi cha shilingi elfu thelathini (30,000) kupitia Benki ya NMB, CRDB au TPB au kwa mitandao ya simu ya M-PESA, TIGO PESA, na AIRTEL MONEY. Kwa maelezo zaidi tembelea: https:/olas.heslb.go.tz

    Ada ya Maombi ya Mkopo HESLB (Bodi ya Mikopo Tanzania)

    Waombaji wanapaswa kulipia ada ya maombi ya mkopo ya kiasi cha shilingi elfu thelathini (30,000) kupitia Benki ya NMB, CRDB au TPB au kwa mitandao ya simu ya M-PESA, TIGO PESA, na AIRTEL MONEY. Kwa maelezo zaidi tembelea: https:/olas.heslb.go.tz

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Utaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:34 am

    Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.

    Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu

    HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 16 17 18 19 20 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.