Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Nafasi za kazi Kasulu – Utumishi Julai 2024
AJIRA MPYA KASULU. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024 x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya S.L.P 97 KASULU
AJIRA MPYA KASULU.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024
x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji
See lessHalmashauri ya Wilaya
S.L.P 97
KASULU
Nafasi za kazi Rufiji – Utumishi July 2024
Ajira Mpya Rufiji - Nafasi za Halmashauri Utumishi Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA, S.L.Read more
Ajira Mpya Rufiji – Nafasi za Halmashauri Utumishi
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi
iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo
ielekezwe kwa: –
MKURUGENZI MTENDAJI,
See lessHALMASHAURI YA WILAYA,
S.L.P 28,
UTETE/RUFIJI
Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal – Utumishi 2025
Habari mkuu, Mimi naona hujasoma maelezo kila kitu kimeandikwa hapo jinsi ya kutatua changamoto yako. Kuna namba za huduma kwa wateja utumishi pia email ya kuwasiliana na kitengo cha utumishi (ICT).
Habari mkuu,
See lessMimi naona hujasoma maelezo kila kitu kimeandikwa hapo jinsi ya kutatua changamoto yako.
Kuna namba za huduma kwa wateja utumishi pia email ya kuwasiliana na kitengo cha utumishi (ICT).
Mabadiliko ya Usaili TCAA
WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji (WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenRead more
WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara
See less(CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji
(WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote
walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 22-07-2024 hadi 24-07-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS)
Endelea kuamini. Ipo siku utapata..
Endelea kuamini. Ipo siku utapata..
See lessNafasi za Kazi Golf Crest Hoteli
Maombi yote ni kwa njia ya email
Maombi yote ni kwa njia ya email
See lessNafasi za Kazi Golf Crest Hoteli
Wanaotakiwa ni watu wa mapokezi
Wanaotakiwa ni watu wa mapokezi
See lessJinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania
Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujazRead more
Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB
A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya http://www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujaza maombi ya mkopo wa siku tisini (90), kuanzia Juni 01 hadi Agosti 31, 2024, amesisitiza Dkt. Kiwia.
See lessJinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania
Ada ya Maombi ya Mkopo HESLB (Bodi ya Mikopo Tanzania) Waombaji wanapaswa kulipia ada ya maombi ya mkopo ya kiasi cha shilingi elfu thelathini (30,000) kupitia Benki ya NMB, CRDB au TPB au kwa mitandao ya simu ya M-PESA, TIGO PESA, na AIRTEL MONEY. Kwa maelezo zaidi tembelea: https:/olas.heslb.go.tz
Ada ya Maombi ya Mkopo HESLB (Bodi ya Mikopo Tanzania)
Waombaji wanapaswa kulipia ada ya maombi ya mkopo ya kiasi cha shilingi elfu thelathini (30,000) kupitia Benki ya NMB, CRDB au TPB au kwa mitandao ya simu ya M-PESA, TIGO PESA, na AIRTEL MONEY. Kwa maelezo zaidi tembelea: https:/olas.heslb.go.tz
See lessUtaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB
Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.
Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu
HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.
See less