Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: August 13, 2024In: Usaili

    Walioitwa kwenye Usaili Bunge la Tanzania PDF – Utumishi Agosti 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 13, 2024 at 11:55 am

    KUITWA KWENYE USAILI BUNGE LA TANZANIA - UTUMISHI (PSRS) 1. Usaili wa Mchujo utafanyika kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili. Muda na mahali ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada. 2. Kila Msailiwa anatakiwa kufika akiwa amevaa NADHIFU. 3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwRead more

    KUITWA KWENYE USAILI BUNGE LA TANZANIA – UTUMISHI (PSRS)

    1. Usaili wa Mchujo utafanyika kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili. Muda na mahali ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.
    2. Kila Msailiwa anatakiwa kufika akiwa amevaa NADHIFU.
    3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.
    4. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI (ORIGINAL), kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.
    5. Wasailiwa watakaowasilisha (Testimonials, Provisional Results, Statement of results) hati za matokeo HAZITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: August 12, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Sumbawanga – Utumishi Agosti 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 12, 2024 at 4:39 pm

    AJIRA MPYA SUMBAWANGA 2024 - NAFASI ZA HALMASHAURI AGOSTI Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 24 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya SuRead more

    AJIRA MPYA SUMBAWANGA 2024 – NAFASI ZA HALMASHAURI AGOSTI

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 24 Agosti, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga,
    S.L.P 229,
    SUMBAWANGA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: August 11, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Shirika la Bima la Taifa (NIC) – Utumishi Agosti 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 11, 2024 at 4:56 pm

    AJIRA MPYA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC 2024 - NAFASI ZA KAZI UTUMISHI AGOSTI Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Agosti 2024; KUMBUKA: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Tovuti ya Kuajiri kwa kutumia anwani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ na si vinginevyo (Anwani hii pia inaweza kupatikana kRead more

    AJIRA MPYA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC 2024 – NAFASI ZA KAZI UTUMISHI AGOSTI

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Agosti 2024;
    KUMBUKA: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Tovuti ya Kuajiri kwa kutumia anwani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ na si vinginevyo (Anwani hii pia inaweza kupatikana kwa
    Tovuti ya PSRS, Bonyeza ‘Portal ya Kuajiri’)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: August 11, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Utumishi (PSRS) – Ajira 224 Utumishi Agosti 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 11, 2024 at 11:35 am

    AJIRA MPYA UTUMISHI (PSRS) - TAASISI MBALIMBALI 2024 AGOSTI Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Agosti 2024; KUMBUKA: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Tovuti ya Kuajiri kwa kutumia anwani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ na si vinginevyo (Anwani hii pia inaweza kupatikana kwa Tovuti ya PSRS,Read more

    AJIRA MPYA UTUMISHI (PSRS) – TAASISI MBALIMBALI 2024 AGOSTI

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24 Agosti 2024;

    KUMBUKA: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Tovuti ya Kuajiri kwa kutumia anwani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ na si vinginevyo (Anwani hii pia inaweza kupatikana kwa
    Tovuti ya PSRS, Bonyeza ‘Portal ya Kuajiri’)

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: August 11, 2024In: Ajira

    Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania kwa msimu wa 2024 / 2025 – Fixtures Timu Zote 16

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 11, 2024 at 7:50 am

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2024/2025 MECHI ZA SIMBA NA YANGA Ratiba hii inaonyesha kuwa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 imepangwa kwa umakini ili kutoa fursa kwa kila timu kushindana ipasavyo. Mechi zimepangiliwa katika maeneo mbalimbali nchini, na tarehe zimepangwa kwa kuzingatia kalenda ya sokaRead more

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2024/2025 MECHI ZA SIMBA NA YANGA

    Ratiba hii inaonyesha kuwa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 imepangwa kwa umakini ili kutoa fursa kwa kila timu kushindana ipasavyo. Mechi zimepangiliwa katika maeneo mbalimbali nchini, na tarehe zimepangwa kwa kuzingatia kalenda ya soka ya kimataifa. Pia, kuna nafasi kwa mechi za kufuzu za AFCON na michuano ya CAF kuratibiwa katikati ya ratiba ya ligi.

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: August 11, 2024In: Ajira

    Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania kwa msimu wa 2024 / 2025 – Fixtures Timu Zote 16

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 11, 2024 at 7:49 am

    Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025 (NBC Premier league) Ratiba ya Katikati ya Msimu (Rounds 7-12): Round 7-8: Mechi za raundi hizi zitafanyika kati ya tarehe 1 na 6 Oktoba 2024, zikifuatiwa na mechi nyingine kuanzia tarehe 18 hadi 27 Oktoba 2024. Round 9-10: Mechi zitaendelea kati ya tareheRead more

    Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025 (NBC Premier league)

    Ratiba ya Katikati ya Msimu (Rounds 7-12):

    Round 7-8: Mechi za raundi hizi zitafanyika kati ya tarehe 1 na 6 Oktoba 2024, zikifuatiwa na mechi nyingine kuanzia tarehe 18 hadi 27 Oktoba 2024.
    Round 9-10: Mechi zitaendelea kati ya tarehe 1 na 10 Novemba 2024. Timu zote zitaendelea kupambana kwa ajili ya kutafuta alama muhimu.
    Round 11-12: Mechi hizi zitaanza tarehe 8 hadi 24 Novemba 2024, na kuhitimisha hatua muhimu ya msimu kabla ya mapumziko mafupi kwa timu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa na majukumu mengine.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: August 11, 2024In: Ajira

    Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania kwa msimu wa 2024 / 2025 – Fixtures Timu Zote 16

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 11, 2024 at 7:48 am

    NBC RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA 2024/2025 Ratiba ya Awali (Rounds 1-6): Round 1: Mechi za kwanza zitaanza tarehe 16 na 17 Agosti 2024. Timu kama Pamba Jiji, Namungo FC, na Simba SC zitakuwa wenyeji wa mechi hizo. Round 2: Mechi zitaendelea kati ya tarehe 23 na 25 Agosti 2024, huku timu kubwa kaRead more

    NBC RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA 2024/2025

    Ratiba ya Awali (Rounds 1-6):

    Round 1: Mechi za kwanza zitaanza tarehe 16 na 17 Agosti 2024. Timu kama Pamba Jiji, Namungo FC, na Simba SC zitakuwa wenyeji wa mechi hizo.
    Round 2: Mechi zitaendelea kati ya tarehe 23 na 25 Agosti 2024, huku timu kubwa kama Simba SC na Young Africans zikishiriki.
    Round 3-4: Mechi za raundi hizi zitachezwa kati ya tarehe 29 Agosti hadi 16 Septemba 2024, zikihusisha timu zote zinazoshiriki ligi.
    Round 5-6: Mechi hizi zitafanyika kati ya tarehe 20 na 30 Septemba 2024.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: August 10, 2024In: Elimu

    Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 10, 2024 at 7:17 pm
    This answer was edited.

    Aidha, mwombaji atatakiwa awe ameambatisha nakala halisi za nyaraka zifuatazo wakati wa kufanya maombi ya ufadhili wa kujiendeleza kada ya Afya 2024/2025: - a. Barua ya ruhusa kwenda masomoni kutoka kwa mwajiri wake. b. Barua ya udahili kutoka chuoni. c. Cheti cha taaluma cha sasa (current academicRead more

    Aidha, mwombaji atatakiwa awe ameambatisha nakala halisi za nyaraka zifuatazo wakati wa kufanya maombi ya ufadhili wa kujiendeleza kada ya Afya 2024/2025: –

    a. Barua ya ruhusa kwenda masomoni kutoka kwa mwajiri wake.
    b. Barua ya udahili kutoka chuoni.
    c. Cheti cha taaluma cha sasa (current academic qualification).
    d. Cheti cha usajili na leseni hai kutoka kwenye Baraza la taaluma husika.
    e. Cheti cha kuzaliwa.
    f. Kitambulisho cha Taifa (NIDA).

    Maombi yote yawasilishwe kwa kutumia ‘link’ ifuatayo: https://esponsorship.moh.go.tz/

    MUHIMU: Kama ilivyoelekezwa hapo juu, mwisho wa kupokea maombi haya ni tarehe
    31/08/2024.
    Imetolewa na: –
    KATIBU MKUU,
    WIZARA YA AFYA,
    Mji wa Serikali Mtumba,
    Barabara ya Afya,
    S.L.P 743,
    40478 DODOMA.
    09/08/2024

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: August 10, 2024In: Elimu

    Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on August 10, 2024 at 7:16 pm

    Vigezo vitakavyotumika kuwapata watakaofadhiliwa Ufadhili wa watumishi kada za afya ni kama ifuatavyo: - 1. Kuwasilishwa kwa maombi rasmi ya ufadhili kwa njia ya mfumo (Post-graduate Sponsorship Online Application System). 2. Mwombaji awe ni Raia wa Tanzania. 3. Awe mtumishi wa Serikali. 4. Awe anaRead more

    Vigezo vitakavyotumika kuwapata watakaofadhiliwa Ufadhili wa watumishi kada za afya ni kama ifuatavyo: –

    1. Kuwasilishwa kwa maombi rasmi ya ufadhili kwa njia ya mfumo (Post-graduate Sponsorship Online Application System).
    2. Mwombaji awe ni Raia wa Tanzania.
    3. Awe mtumishi wa Serikali.
    4. Awe ana barua ya udahili (admission letter) kutoka kwenye chuo kinachotambuliwa na Serikali ndani au nje ya nchi.
    5. Awe anakwenda kusoma masomo ya ubingwa (specialization) au ubingwa bobezi (super-specialization).
    6. Mwombaji awe ametimiza miaka mitatu tangu alipoajiriwa (barua ya ajira na kuthibitishwa kazini iambatishwe wakati wa maombi).
    7. Ufadhili utazingatia uhitaji unaotokana na uhaba wa taaluma/fani anayokwenda kusoma mtumishi kwenye kituo husika. Kwa mantiki hiyo, kipaumbele cha kupata ufadhili itategemea upungufu wa taaluma aliyoomba kwenda kusoma kwenye kituo chake cha kazi.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: August 10, 2024In: Elimu

    Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya 2024/2025

    Erick
    Erick
    Added an answer on August 10, 2024 at 7:14 pm

    UFADHILI WA WATUMISHI WA UMMA KADA YA AFYA 2024 - DKT SAMIA HEALTH SPECIALIZATION SCHOLARSHIP PROGRAM Wataalamu watakaopata ufadhili wa masomo kwa vyuo vya nje ya nchi watalipiwa ada ya mafunzo, posho ya kujikimu, nauli pamoja na posho ya utafiti. Wataalamu watakaopata ufadhili masomo katika vyuo vyRead more

    UFADHILI WA WATUMISHI WA UMMA KADA YA AFYA 2024 – DKT SAMIA HEALTH SPECIALIZATION SCHOLARSHIP PROGRAM

    Wataalamu watakaopata ufadhili wa masomo kwa vyuo vya nje ya nchi watalipiwa ada ya mafunzo, posho ya kujikimu, nauli pamoja na posho ya utafiti. Wataalamu watakaopata ufadhili masomo katika vyuo vya ndani ya nchi watalipiwa ada ya mafunzo na posho ya utafiti pindi mtaalamu husika atapokuwa kwenye kipindi cha kufanya utafiti kama sehemu ya mafunzo yake. Malipo ya posho ya utafiti na posho ya kujikimu yatazingatia viwango vilivyopangwa na Wizara.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 2 3 4 5 … 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.