Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
173 Questions
Home/ Erick/Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    Sifa za Mtendaji wa Kijiji Katika Ajira Utumishi ni zipi?

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 6:14 pm
    This answer was edited.

    Mshahara wa Mtendaji wa Kijiji 2024/2025 Ni upi mshahara wa mtu ambae kasomea utendaji wa kijiji? Ngazi ya Mshahara ni TGS B yaani Tshs.450,000.00 kwa mwezi.

    Mshahara wa Mtendaji wa Kijiji 2024/2025

    Ni upi mshahara wa mtu ambae kasomea utendaji wa kijiji?
    Ngazi ya Mshahara ni TGS B yaani Tshs.450,000.00 kwa mwezi.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    INEC Walioitwa kwenye Mafunzo NEC – Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 1:04 pm

    NEC Kuitwa kwenye mafuzo INEC 2024 Orodha ya majina ya mikoa mingine inapatikana katika tovuti husika. hivyo tembelea ili kuona jina lako.

    NEC Kuitwa kwenye mafuzo INEC 2024

    Orodha ya majina ya mikoa mingine inapatikana katika tovuti husika. hivyo tembelea ili kuona jina lako.

    See less
    • -18
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: May 10, 2025In: Ajira

    Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 10:08 am
    This answer was edited.

    Nifanyeje Kutuma maombi ya Ajira za Ualimu 2025? Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’Read more

    Nifanyeje Kutuma maombi ya Ajira za Ualimu 2025?

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’) (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Mtama – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 9:34 am

    Ajira Mpya Mtama 2024 Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 04 Agosti 2024 MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja nav yeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA S.L.P 328 MTAMA

    Ajira Mpya Mtama 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 04 Agosti 2024
    MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja nav yeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI
    HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA
    S.L.P 328
    MTAMA

    See less
    • -1
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Wilaya ya Rungwe – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 9:12 am

    Ajira Mpya Rungwe 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04 Agosti, 2024 .MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE S. L. P 148 RUNGWE

    Ajira Mpya Rungwe 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 04 Agosti, 2024
    .MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    MKURUGENZI MTENDAJI
    HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE
    S. L. P 148
    RUNGWE

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    Nafasi za Kazi Wilaya ya Iramba – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 8:51 am

    Ajira Mpya Iramba 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 8 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya Iramba, S.L.P. 355, Kiomboi-Iramba.

    Ajira Mpya Iramba 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 8 Agosti, 2024.

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: –

    Mkurugenzi Mtendaji,
    Halmashauri ya Wilaya Iramba,
    S.L.P. 355,
    Kiomboi-Iramba.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 26, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya Jiji la Tanga – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 26, 2024 at 8:17 am

    Nafasi za kazi Jiji la Tanga 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - Mkurugenzi wa Jiji, Halmashauri ya Jiji la Tanga, S.L.P 178, TANGA

    Nafasi za kazi Jiji la Tanga 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:
    –
    Mkurugenzi wa Jiji,
    Halmashauri ya Jiji la Tanga,
    S.L.P 178,
    TANGA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    VIDEO | Komasava Remix – Diamond Platnumz x Jason Derulo ft Khalil Harisson & Chley

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 10:33 pm

    Remix ya "Komasava" ni ushahidi wa ubunifu na uwezo wa Diamond Platnumz kama msanii. Wimbo huu una sehemu za kuvutia na korasi yenye nguvu ambayo hakika itawavutia wasikilizaji. Katika upekee wa kipekee, Diamond Platnumz anatumia wimbo huu kuwasalimu watu kwa lugha saba tofauti, akisisitiza umoja naRead more

    Remix ya “Komasava” ni ushahidi wa ubunifu na uwezo wa Diamond Platnumz kama msanii. Wimbo huu una sehemu za kuvutia na korasi yenye nguvu ambayo hakika itawavutia wasikilizaji. Katika upekee wa kipekee, Diamond Platnumz anatumia wimbo huu kuwasalimu watu kwa lugha saba tofauti, akisisitiza umoja na utofauti wa kitamaduni. Sauti za nguvu za Jason Derulo zinaongeza mvuto wa kimataifa, na kufanya “Komasava Remix” kuwa hiti la kweli duniani. Kwa mdundo wake wa juu na ala zenye nguvu, “Komasava” inaonekana kuwa wimbo wa msimu wa joto.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya Wilaya ya Songwe – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Best Answer
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 6:33 pm

    Nafasi za kazi Songwe 2024 Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa; Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Songwe, S.L.P 77 MKWAJUNI SONGWE.

    Nafasi za kazi Songwe 2024

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 07 Agosti, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    Mkurugenzi Mtendaji
    Halmashauri ya Wilaya ya Songwe,
    S.L.P 77
    MKWAJUNI SONGWE.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 25, 2024In: Ajira

    Ajira Mpya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 25, 2024 at 5:14 pm

    Tangazo la nafasi za kazi Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) JULY 2024 A. Waombaji wanapaswa kuonyesha nafasi ambazo wanaomba. B. Waombaji lazima wapitishe barua zao za maombi kupitia zao waajiri husika. C. Vyeti kutoka Vyuo Vikuu vya nje vinapaswa kuthibitishwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)Read more

    Tangazo la nafasi za kazi Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) JULY 2024

    A. Waombaji wanapaswa kuonyesha nafasi ambazo wanaomba.
    B. Waombaji lazima wapitishe barua zao za maombi kupitia zao
    waajiri husika.
    C. Vyeti kutoka Vyuo Vikuu vya nje vinapaswa kuthibitishwa na
    Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU).
    D. Vyeti kutoka kwa mashirika ya mitihani ya kigeni kwa Kawaida au Elimu ya ngazi ya juu inapaswa kuthibitishwa na Taifa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA).
    E. Uwasilishaji wa vyeti vya kughushi na taarifa nyingine za uongo itasababisha kutostahiki kiotomatiki na kuchukuliwa hatua za kisheria.
    F. Wagombea waliofaulu pekee ndio watawasiliana nao.
    G. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 3/8/2024

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 7 8 9 10 11 … 21
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 174
  • Answers : 273
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

    • 17 Answers
  • Erick
    Erick added an answer Nenda DODOMA Makao makuu May 11, 2025 at 12:23 am
  • Ashraf said
    Ashraf said added an answer Daa mm nilishaenda mpk magogoni kivukoni zaid ya mala 3… May 11, 2025 at 12:23 am
  • Janeth N Mafie
    Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.