Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus

Erick

Ask Erick
1k Visits
6 Followers
170 Questions
Home/ Erick/Best Answers
Matangazo ya kazi Ajira Portal
  • About
  • Questions
  • Polls
  • Answers
  • Best Answers
  • Asked Questions
  • Groups
  • Joined Groups
  • Managed Groups
  1. Asked: July 18, 2024In: Elimu

    Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Uzoefu

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 4:30 pm

    Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Shahada Shahada siyo lazima kila mara ili kupata kazi kama mchambuzi wa takwimu. Wachambuzi wa takwimu wanahitajika sana, na waajiri wanataka kujua kwamba una ujuzi wa kufanya kazi hiyo. Ikiwa huna shahada, zingatia kufanya jalada lako la kazi (portfolio) kuwaRead more

    Jinsi ya Kuwa Mchambuzi wa Takwimu Bila Shahada

    Shahada siyo lazima kila mara ili kupata kazi kama mchambuzi wa takwimu. Wachambuzi wa takwimu wanahitajika sana, na waajiri wanataka kujua kwamba una ujuzi wa kufanya kazi hiyo. Ikiwa huna shahada, zingatia kufanya jalada lako la kazi (portfolio) kuwa bora kwa kuonyesha kazi zako nzuri zaidi.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  2. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili NEC – Muleba INEC Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 3:18 pm

    Orodha ya walioitwa kwenye usaili INEC - NEC Tume ya uchaguzi Tanzania Aidha, katika usaili unatakiwa kufanya yafuatayo:- 1. Kila msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. 2. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha Mpira kura, KitambuliRead more

    Orodha ya walioitwa kwenye usaili INEC – NEC Tume ya uchaguzi Tanzania

    Aidha, katika usaili unatakiwa kufanya yafuatayo:-
    1. Kila msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi.
    2. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha Mpira kura, Kitambulisho cha Mkazi, Hati ya Kusafiria, Leseni ya Udereva na Barua ya Utambulisho toka Serikali ya Kijiji kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji, kwa watumishi wa Umma awe na kitambulisho cha kazi.
    3. Kila msailiwa atajigharamia Chakula, Usafiri na Malazi.
    4. Kila msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
    5. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili ifahamike kuwa hakufanikiwa kuingia kwenye usaili.
    6. Orodha ya waoitwa kwenye usaili imeambatanishwa na tangazo hili

    See less
    • -4
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  3. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Walioitwa kwenye Usaili INEC – Bukoba NEC 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 10:42 am

    Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili NEC - INEC mikoa mbalimbali Tafadhali endelea kusubiri au tembelea kurasa la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania

    Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili NEC – INEC mikoa mbalimbali

    Tafadhali endelea kusubiri au tembelea kurasa la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  4. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Walioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Karagwe 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 10:25 am

    Kwa majina mengine ya walioitwa kwenye usaili pia matokeo ya usaili tafadhali tembelea tovuti husika ya jimbo au kurasa za wilaya na majimbo pia tovuti ya INEC Tanzania

    Kwa majina mengine ya walioitwa kwenye usaili pia matokeo ya usaili tafadhali tembelea tovuti husika ya jimbo au kurasa za wilaya na majimbo pia tovuti ya INEC Tanzania

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  5. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Walioitwa Kazini Manispaa ya lringa – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 9:11 am

    Kwa matangazo ya nafasi za kazi, ajira mpya mbalimbali kutoka utumishi tafadhali tembelea PSRS

    Kwa matangazo ya nafasi za kazi, ajira mpya mbalimbali kutoka utumishi tafadhali tembelea PSRS

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  6. Asked: July 18, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Kasulu – Utumishi Julai 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 18, 2024 at 8:32 am

    AJIRA MPYA KASULU. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024 x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:- Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya S.L.P 97 KASULU

    AJIRA MPYA KASULU.

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/07/2024
    x. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

    Mkurugenzi Mtendaji
    Halmashauri ya Wilaya
    S.L.P 97
    KASULU

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  7. Asked: July 17, 2024In: Ajira

    Nafasi za kazi Rufiji – Utumishi July 2024

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 17, 2024 at 8:52 pm

    Ajira Mpya Rufiji - Nafasi za Halmashauri Utumishi Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024. MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: - MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA, S.L.Read more

    Ajira Mpya Rufiji – Nafasi za Halmashauri Utumishi

    Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 30 Julai, 2024.
    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi
    iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo
    ielekezwe kwa: –

    MKURUGENZI MTENDAJI,
    HALMASHAURI YA WILAYA,
    S.L.P 28,
    UTETE/RUFIJI

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  8. Asked: July 16, 2024In: Usaili

    Mabadiliko ya Usaili TCAA

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 11:26 am

    WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji (WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenRead more

    WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI TAASISI MBALIMBALI.

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Chuo cha Elimu ya Biashara
    (CBE), Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Chuo cha Maji
    (WI), Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote
    walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 22-07-2024 hadi 24-07-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  9. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Jinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:44 am

    Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujazRead more

    Mwisho wa kupokea maombi ya Mkopo / mikopo HESLB

    A. Miongozo hiyo inapatikana kwenye tovuti yetu ya Bodi ya Mikopo ya http://www.heslb.go.tz toka Juni 01, 2024 na nawasihi waombaji mikopo kusoma na kuielewa miongozo hiyo kabla ya kuanza kufanya maombi ya mkopo, pamoja na kuzingatia muda uliopangwa wa kujaza maombi ya mkopo wa siku tisini (90), kuanzia Juni 01 hadi Agosti 31, 2024, amesisitiza Dkt. Kiwia.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
  10. Asked: July 16, 2024In: HESLB

    Utaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB

    Erick
    Erick
    Added an answer on July 16, 2024 at 12:34 am

    Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.

    Orodha ya Waombaji Waliochaguliwa / waliopangiwa kwenye Taasisi za Elimu ya Juu

    HESLB itazingatia maombi ya mkopo kutoka kwa wanafunzi waliodahiliwa katika Taasisi za Elimu ya Juu na kuthibitishwa na kuwasilishwa HESLB na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) au mamlaka nyingine iliyothibitishwa.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Share on LinkedIn
      • Share on WhatsApp
1 … 11 12 13 14 15
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions : 171
  • Answers : 261
  • Most visited
  • Answers
  • Erick

    Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

    • 2 Answers
  • Erick

    Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

    • 4 Answers
  • Erick

    Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

    • 3 Answers
  • Erick

    Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi

    • 11 Answers
  • Erick

    Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

    • 11 Answers
  • K12
    K12 added an answer Mmh May 9, 2025 at 3:51 pm
  • K12
    K12 added an answer Mmh May 9, 2025 at 3:51 pm
  • K12
    K12 added an answer Noma May 9, 2025 at 3:51 pm

Trending Tags

Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye Usaili NEC

Explore

Footer

© 2024 Habari Times. All Rights Reserved
Created by Habaritimes.