Maelezo, Jinsi ya Kuomba Mkopo HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania. Maombi yote ya mkopo yatafanyika kupitia Mfumo wa Maombi na Usimamizi wa Mikopo (OLAMS). Waombaji wote wa mikopo WANAKUMBUSHWA kutumia namba ileile ya Mtihani wa Kidato cha Nne iliyotumika wakati ...
Habari Times Latest Questions
Utaratibu wa Malipo ya Mkopo HESLB; Gharama za chakula na malazi, vitabu na viandikwa, mafunzo kwa vitendo, gharama za tafiti yatalipwa moja kwa moja kwa mwanafunzi wakati Ada ya mafunzo na mahitaji maalum ya kitivo yatalipwa moja kwa moja kwenye ...
Baada ya kuainisha waombaji wahitaji na kuonesha taratibu makundi ya Kozi au programu zifuatazo zenye vipaumbele zitapewa mikopo kutoka Bodi ya Mikopo Tanzania – HESLB kulingana na uwepo wa fedha. Kundi la Kwanza: Kozi katika kundi la kwanza ni: – Ualimu wa ...
Vigezo vya kupata Mkopo kutoka HESLB Bodi ya Mikopo Tanzania sifa za jumla zinamtaka mwombaji mkopo atimize masharti yafuatayo: – Awe Mtanzania; Awe ameomba mkopo kupitia mfumo wa maombi ya mkopo (OLAMS); Awe amedahiliwa katika taasisi ya elimu ya juu yenye ithibati, ...
Waombaji mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2024/2025 wanafahamishwa kuzingatia mambo yafuatayo: Kusoma na kufuata taratibu za maombi katika Mwongozo huu wa mwaka wa masomo 2024/2024; Kuhakikisha kuwa namba ya mtihani wa kidato cha nne iwe sawa kwenye ...
Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kinapenda kuwajulisha wanafunzi wote waliochaguliwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kujiunga chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) katika matawi yake yote (Dar-es-Salaam Campus, Mwanza Campus, Dodoma Campus na Simiyu Campus) kutembelea tovuti ya chuo:
Nafasi za Kazi HOTELI YA GOLD CREST15 Julai 2024 TUNATAFUTA MFANYAKAZI Nafasi ya Kazi: MpokeziMahali pa Kazi: Mwanza, Tanzania Tunatafuta haraka mpokezi wa kike mwenye sifa kujiunga na timu yetu. Mahitaji: Mwenye stashahada katika Usimamizi wa Hoteli au Ukiritimba. Uwezo mzuri wa mawasiliano, kujifunza haraka, ...
Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi (PSRS); Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 10-06-2023 na tarehe 21-06-2024 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni ...
Chuo Kikuu cha Mzumbe kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na wasio Watanzania kwa ajili ya kujiunga na programu mbalimbali za Shahada zinazotolewa katika Chuo Kikuu cha Mzumbe kwa mwaka wa masomo 2024/2025 kwa awamu ya kwanza ya utumaji ...
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni chuo kikuu cha umma kilichoko Dar es Salaam, Tanzania. Ilianzishwa mnamo 1961 kama chuo kikuu cha ushirika cha Chuo Kikuu cha London. Chuo kikuu hicho kilipata kuwa mshirika wa Chuo Kikuu cha Afrika ...