Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
  • 0

Leo, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) imetangaza rasmi kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024, utakaoanza mnamo siku ya ijumaa Agosti 16, 2024 Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania kwa msimu wa 2024 / 2025 – Fixtures Timu Zote 16, ...

Erick
  • 1
  • 1

TANGAZO LA UFADHILI WA KUJIENDELEZA KWA WATUMISHI WA UMMA KADA ZA AFYA KUPITIA ‘DKT SAMIA HEALTH SPECIALIZATION SCHOLARSHIP PROGRAM’ KWA MWAKA 2024/2025 Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ...

Erick
  • 0
  • 0

Mchezo mkubwa wa hizi fainali za Ngao ya jamii ambao unasubiriwa na wadau wengi wa soka barani Afrika, Tanzania na nje ya mipaka, Ambao utawakutanisha YANGA SC vs SIMBA SC leo tarehe 8 mwezi wa 8, 2024.