Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2105
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 20, 20242024-07-20T21:33:01+00:00 2024-07-20T21:33:01+00:00In: Ajira

Jinsi Ya Kutuma Maombi Ajira Za Walimu (Ualimu) Utumishi – Ajira Portal 2024

  • 0

Ikumbukwe, Leo Utumishi (PSRS) walitoa tangazo la nafasi za ajira mpya za walimu (Ualimu) wa Watanzania wote wenye sifa. Hivyo huu ni mwongozo muhimu wa Jinsi Ya Kutuma Maombi Ajira Za Walimu (Ualimu) Utumishi – Ajira Portal 2024; Waombaji kazi wanatakiwa kuingiza namba sahihi zilizoko kwenye kitambulisho cha Taifa (NIDA).

Baada ya kuingiza namba hii, mfumo utawauliza maswali machache ili kuthibitisha umiliki wa namba hiyo. Ikithibitishwa kuwa ni sahihi, mfumo utaingiza moja kwa moja taarifa kutoka NIDA kwenye mfumo wa maombi ya kazi, kwa kufuata mwongozo uliotolewa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

Mfumo wa maombi ya Ajira za Walimu 2024 Utumishi (Ajira Portal)

Kujisajili: Kama unataka kujisajili mwanzo kabisa wakati umeingia katika mfumo wa ajira basi Bonyeza Hapa.
Kufungua akaunti: Jinsi ya kufunfua akaunti utumishi (ajira portal) basi ni muhimu sana Bonyeza hapa kufungua.
Kutuma maombi: Jinsi ya kutuma maombi katika ajira za walimu 2024, Hii ni hatua muhimu sana baada ya kujaza taarifa zako zote muhimu katika sekretarieti ya ajira. Hivyo, unapaswa kuwa makini wakati wa ujazaji wa taarifa na nakala muhimu sana ili kuepusha makosa yatakayo jitokeza baada ya kukosea. Bonyeza Hapa kutuma maombi

Bonyeza hapa kudownload mwongozo mzima wa namna au jinsi ya kujisajili na mfumo

Baada ya taarifa zako kuingizwa kwenye mfumo wa ajira, unapaswa kumalizia kuingiza taarifa zote muhimu. Hakikisha umejaza taarifa binafsi kikamilifu na kisha bonyeza kitufe cha “Hifadhi” (Save) ili taarifa zako ziweze kuhifadhiwa kwenye mfumo na kuwa tayari kwa mchakato wa ajira.

Kumbuka: Hakikisha unajaza taarifa zako kwa umakini sana.

AjiraAjira za ualimuAjira za ualimu 2024Ajira za walimuAjira za walimu 2024jinsi ya kutuma maombi ajira za ualimuJinsi ya kutuma maombi ajira za walimuUtumishi
  • 2 2 Answers
  • 4k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    2 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-20T21:38:47+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 9:38 pm

      Mfumo wa Ajira za Ualimu Ajira Portal Utumishi 2024.

      Jaza taarifa zote muhimu kwa kuzingatia mpangilio huu:
      – Chagua ngazi yako ya Elimu
      – Chagua nchi uliyosoma.
      – Chagua fani sahihi kulingana na taaluma yako ili uweze jina sahihi la fani yako uliyohitimu.
      – Chagua fani uliyofuzu na inatakiwa jina lake lifanane na kilichoandikwa kwenye cheti chako cha kuhitimu ambacho unataka kukiambatisha kwenye mfumo, endapo hujapata jina linaloendana na kozi uliyomaliza huenda umechagua sehemu isiyo sahihi na taaluma yako, hivyo tafuta sehemu nyingine kwa kutumia jina la fani uliyofuzu kama ilivyoandikwa kwenye cheti chako.
      – Chagua au jaza jina la chuo na kama chuo ulichosoma hakipo andika jina kamili kwa kirefu, usitumie vifupisho havikubaliki.
      – Onyesha ulianza lini na ulihitimu lini.
      – Ambatisha nakala ya cheti kilichothibitishwa na mwanasheria na hakikisha cheti chako unachokiweka hakizidi 2MB.
      – Bonyeza sehemu ya hifadhi (save) ili taarifa na nyaraka zako ziweze kuhuishwa na kuhifadhiwa kwenye mfumo.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    2. Erick
      Erick
      2024-07-20T21:35:12+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 9:35 pm

      Mfumo wa maombi ya ajira za walimu 2024 Utumishi.

      Taarifa za Kitaaluma: Katika eneo hili, mwombaji wa ajira anapaswa kuchagua kiwango cha elimu kwenye eneo la “educational level”. Inashauriwa mwombaji kazi aanze na taarifa za kidato cha nne na kuendelea kulingana na kiwango chake cha elimu. Wakati wa kuingiza taarifa za kiwango cha elimu baada ya zile za elimu ya sekondari, mwombaji kazi anatakiwa kuchagua kundi la kozi yake (programme category).

      Endapo umechagua kundi la kozi yako na usipoiona tambua kuwa hukuwa umechagua kundi stahiki na hivyo itakulazimu kurudi na kupitia makundi hayo upya. Aidha, kama mwombaji amesoma nje ya Tanzania atatakiwa kujaza kwenye eneo la kundi la kozi husika na Sekretarieti ya Ajira itathibitisha usahihi wa chaguo aliloliweka.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi - Ajira za ...

      • 3 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.