Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2054
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 20, 20242024-07-20T07:58:39+00:00 2024-07-20T07:58:39+00:00In: Ajira

Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024

  • 0

Leo kutoka Utumishi (PSRS), Ajira Mpya – Nafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa Bunge Tanzania – Utumishi Julai 2024; Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Aidha, Ibara ya 88 ya Katiba inaunda Sekretarieti ya Bunge yenye jukumu la kuliwezesha Bunge kutekeleza majukumu yake. Kwa msingi huo, Sekretarieti ya Bunge, inatangaza nafasi za kazi za Kada mbalimbali ili kuimarisha utendaji wake. Watanzania wote wenye sifa na uwezo wanaalikwa kutuma maombi yao ili kujaza nafasi za kazi kama zilivyoainishwa hapa chini:-

Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge

AFISA TAWALA DARAJA LA II – NAFASI 1: Kusimamia kazi za Utawala na Uendeshaji katika Taasisi;
FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UMEME) – NAFASI 1: Kukagua na kuripoti kasoro za kiufundi za mifumo ya umeme.
FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UFUNDI) – NAFASI 1: Kufanya ukaguzi wa ubora wa magari, mashine na mitambo na kushauri ipasavyo.
MTEKNOLOJIA DAWA DARAJA LA II – NAFASI 1: Kuainisha, kuandaa na kuagiza mahitaji ya dawa na vifaa tiba katika eneo lake la kazi;
TABIBU WA KINYWA NA MENO DARAJA LA II: Kutambua na kutibu magonjwa ya kawaida ya kinywa na meno.

Bonyeza hapa kudownload tangazo la nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge

Hati za Matokeo za Kidato cha Nne na Sita HAZITAKUBALIWA.

AjiraAjira Mpya Tume ya Utumishi Wa BungeNafasi za kazi Tume ya Utumishi Wa BungeTume ya Utumishi Wa BungeUtumishi
  • 3 3 Answers
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    3 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Erick
      2024-07-20T08:04:17+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 8:04 am

      Huduma kwa wateja Tume ya Utumishi wa Bunge Tanzania.

      Kwa msaada na ufafanuzi piga namba; +255738685177. Simu zipigwe muda wa kazi kuanzia Saa 2:00 Asubuhi – 11:00 Jioni.

      Limetolewa na: –
      KATIBU WA BUNGE
      OFISI YA BUNGE
      DODOMA.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    2. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-20T08:02:29+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 8:02 am

      Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Bunge 2024 Utumishi.

      Maombi yote yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo: – https://portal.ajira.go.tz. (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa (Recruitment Portal). Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

      • 1
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    3. Erick
      Erick
      2024-07-20T08:00:13+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 8:00 am

      Ajira Mpya Tume ya Utumishi wa Bunge 2024.

      Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 02 Agosti, 2024
      MUHIMU
      Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya
      elimu. Barua hiyo ielekezwe kwa: –

      KATIBU WA BUNGE
      OFISI YA BUNGE
      10 BARABARA YA MOROGORO
      S.L.P. 941
      40490 TAMBUKARELI
      DODOMA.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi - Ajira za ...

      • 3 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.