Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 3396
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: August 6, 20242024-08-06T18:38:49+00:00 2024-08-06T18:38:49+00:00In: Elimu

NECTA Fomati ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi Darasa la Saba 2024 PSLE

  • 0

Leo NECTA Tanzania, Wametoa Fomati ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi Darasa la Saba 2024. Kitabu hiki cha fomati ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi kimeandaliwa na Baraza la Mitihani la Tanzania kwa kuzingatia matakwa ya Mtaala wa Elimu ya Msingi wa mwaka 2015. Fomati hii itaanza kutumika mwaka 2024.

Katika kitabu hiki cha Fomati kuna maboresho ya idadi ya sehemu za karatasi hususani katika masomo ya 03 Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi, 04 Hisabati, 05 Sayansi na Teknolojia na 06 Uraia na Maadili ambapo kutakuwa na sehemu tatu (03) A, B na C badala ya mbili (2) za awali ambazo ni A na B. Maboresho zaidi yaliyofanyika katika muundo wa mtihani wa masomo yote yanayotahiniwa katika ngazi hii ya elimu ambayo ni 01 Kiswahili, 02 English Language, 03 Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi, 04 Hisabati, 05 Sayansi na Teknolojia pamoja na 06 Uraia na Maadili. Muundo wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi utakuwa na idadi ya maswali ambayo ni tofauti kutoka somo moja hadi jingine ikilinganishwa na idadi ya awali ambapo masomo yote yalikuwa na maswali 45. Katika maboresho hayo masomo ya 01 Kiswahili na 06 Uraia na Maadili yatakuwa na maswali sita (6) kila moja. Masomo ya 04 Hisabati na 05 Sayansi na Teknolojia yatakuwa na maswali nane (8) kila moja. Aidha, masomo ya 02 English Language na 03 Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi yatakuwa na maswali saba (7) kila moja. Katika mitihani hiyo mtahiniwa ataandika majibu yake kwenye nafasi zilizotengwa katika karatasi ya maswali.

Bonyeza hapa kudownload fomati ya Mtihani darasa la saba

Fomati ya darasa la saba 2024Fomati ya mtihani darasa la sabaMtihani wa Darasa la Saba 2024NECTA
  • 1 1 Answer
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-08-06T18:40:41+00:00Added an answer on August 6, 2024 at 6:40 pm

      FOMATI YA DARASA LA SABA NECTA – KUMALIZA ELIMU YA MSINGI 2024

      Fomati za mtihani zimeandaliwa kwa kufuata muundo wa sehemu tano ambazo ni Utangulizi, Malengo ya Jumla, Umahiri Mkuu, Muundo wa Mtihani na Umahiri utakaotahiniwa kwa kila somo. Aidha, Jedwali la utahini limewekwa mwishoni mwa fomati ya kila somo na linaonesha umahiri utakaopimwa, ngazi za nyanja ya utambuzi, idadi ya vipengele vya maswali kwa kila umahiri mahususi na asilimia ya uzito kwa kila umahiri.

      Kwa ujumla, kitabu hiki cha fomati kinatoa mwongozo kwa watunzi wa mitihani, warekebishaji wa maswali ya mtihani na walimu wa shule za msingi katika kuandaa mitihani inayozingatia haki, uhalali na viwango. Baraza linasisitiza umahiri wote katika masomo yote yanayofundishwa katika ngazi ya elimu ya msingi ufundishwe kwa kuzingatia mihtasari ya masomo husika. Fomati hii ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi kwa namna yoyote ile isitumike kama mbadala wa mihtasari ya masomo husika. Baraza la Mitihani linatambua na kuthamini mchango wa watu wote walioshiriki katika kufanya maboresho ya kitabu hiki cha fomati.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Fomu ya Ombi la Cheti Mbadala NECTA - Baraza la ...

      • 1 Answer
    • Erick

      Ufadhili wa Kujiendeleza kwa Watumishi wa Umma Kada za Afya ...

      • 3 Answers
    • Erick

      NECTA Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2024-25 CSEE ...

      • 1 Answer
    • Erick

      Mwongozo wa Mfumo wa Maombi ya Mafunzo ya Ualimu 2024/2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Jinsi ya Kutuma Maombi Mafunzo ya Ualimu 2024/2025 - MOEST ...

      • 1 Answer

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.