Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2804
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 29, 20242024-07-29T09:43:01+00:00 2024-07-29T09:43:01+00:00In: Ajira

Sifa za Database Administration Katika Ajira Utumishi ni zipi?

  • 0

Kama wewe ni mwomba ajira katika Sekretarieti ya Ajira katika OR-Utumishi wa Umma, Basi hizi ndizo Sifa za Usimamizi wa data za kierektroniki (Database Administration) Katika Ajira Utumishi.

Msimamizi wa Hifadhidata (Database Administrator) ni mtaalamu anayehusika na kusimamia, kudumisha, na kulinda hifadhidata ya shirika au kampuni. Majukumu yao yanajumuisha kuhakikisha hifadhidata inapatikana wakati wote, kufanya maboresho ya utendaji, na kuhakikisha usalama wa data dhidi ya vitisho kama udukuzi na uharibifu. Pia, wanajibika kwa kutekeleza sera za usalama wa data, kufanya chelezo za mara kwa mara, na kurejesha data pale inapohitajika.

Msimamizi wa Hifadhidata pia anashirikiana na timu nyingine kama vile waendelezaji wa programu na wachambuzi wa mifumo ili kuhakikisha hifadhidata inakidhi mahitaji ya kibiashara na kiteknolojia ya shirika. Wanaweza pia kufanya kazi ya kubuni hifadhidata mpya na kushauri kuhusu teknolojia bora za kuhifadhi na kusimamia data. Kwa ujumla, wanachangia katika kuhakikisha taarifa muhimu za shirika zinapatikana, zinahifadhiwa kwa usalama, na zinaweza kutumika kwa ufanisi.

Sifa: Kuajiriwa wenye Stashahada ya Juu au Shahada ya kwanza ya Kompyuta katika moja ya fani zifuatazo; Sayansi ya Kompyuta, Teknolojia ya Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Menejimenti ya Mifumo ya Habari.

Viwango vya mishahara endelea kwa chini.

AjiraDatabase AdministrationMshahara wa Database AdministrationNafasi za Database AdministrationSifa za Database AdministrationUtumishi
  • 1 1 Answer
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-29T09:45:35+00:00Added an answer on July 29, 2024 at 9:45 am

      Mshahara wa Msimamizi wa Hifadhidata (Database Administrator) 2024/2025

      Ni upi mshahara wa mtu aliesomea Maswala ya Database Administration?
      Ngazi ya mshahara ni TGS B yaani Tshs. 690,000.00 na kuendelea kwa kila mwezi.

      • -3
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi - Ajira za ...

      • 3 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.