Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 1786
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 18, 20242024-07-18T10:41:10+00:00 2024-07-18T10:41:10+00:00In: Ajira

Walioitwa kwenye Usaili INEC – Bukoba NEC 2024

  • 0

Leo kutoka INEC, Orodha ya majina ya Walioitwa kwenye Usaili INEC – Bukoba NEC; Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Bukoba Mjini anapenda kuwataarifu waombaji wote walioomba kazi ya Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa tarehe 22 Julai, 2024 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Ihungo saa 1:30 asubuhi.

Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

i. Usaili utafanyika tarehe 22 Julai, 2024 katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari
Ihungo saa 1:30 asubuhi.
ii. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi.
iii. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na: Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho
cha Mpiga Kura, Kitambulisho cha Mkazi, Hati ya Kusafiria, Leseni ya Udereva, na
Barua ya Utambulisho toka Serikali ya Kijiji/Mtaa.
iv. Kila Msailiwa atajigharamia Chakula, Usafiri na Malazi.
v. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
vi. Kila msailiwa aje na kalamu ya buluu au nyeusi kwa ajili ya usaili wa maandishi
vii. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili wasisite
kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia masharti ya
tangazo husika.
viii. Orodha ya wanaoitwa kwenye usaili imeambatanishwa na tangazo hii

Bonyeza hapa kudownload orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili INEC Bukoba

Uliza swali lolote hapo chini..

Walioitwa kwenye usaili BukobaWalioitwa kwenye usaili INECWalioitwa kwenye Usaili NEC
  • 1 1 Answer
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-18T10:42:58+00:00Added an answer on July 18, 2024 at 10:42 am

      Orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili NEC – INEC mikoa mbalimbali

      Tafadhali endelea kusubiri au tembelea kurasa la Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba Wilaya ya Kishapu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Mkataba Wilaya ya Muleba 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.