Hii hapa Orodha ya Vyuo Vikuu Bora tena maarufu 30 vya Tanzania kwa mwaka 2024/2025 vilivyowekwa kwenye viwango na Mashirika ya Kimataifa ya Upimaji na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), vyuo vyote bora vya Tanzania kwa mwaka 2024/2025 vimejumuishwa. Orodha ...
Habari Times Latest Questions
Leo kutoka PSRS Utumishi, Nafasi za kazi Halmashauri ya Mji Nzega – July 2024; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Nzega amepata kibali kipya cha ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 kutoka ...
Leo kutoka utumishi, Tangazo la Nafasi za kazi Halmashauri ya Mji Babati – Julai 2024; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati amepata kibali kipya cha ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 ...
Leo kutoka utumishi, Nafasi za kazi Halmashauri ya Mji Kibaha – Julai 2024; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024. Hivyo ...
Kutoka Utumishi, Nafasi za kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga – Julai 2024; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga amepokea Kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024. ...
Leo kutoka TCAA; Mamlaka inatafuta kuajiri raia ishirini na wanane (28) wa Kitanzania wenye sifa katika nyanja za Maafisa Usimamizi wa Trafiki wa Anga (14) na Maafisa Usimamizi wa Taarifa za Anga (14) kwa masharti kwamba, wahudhurie mafunzo ya awali ...
Hii hapa orodha kamili ya Vyuo Vikuu Tanzania Chini ya TCU S/NJINA LA CHUO KIKUUMAKAO MAKUUAINAHADHI1Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)Dar es SalaamChuo Kikuu cha UmmaKimesajiliwa na Kupatiwa Hati2Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)MorogoroChuo Kikuu cha UmmaKimesajiliwa na ...
Maelezo kuhusu Nafasi za kazi Wilaya ya Magu – Utumishi; Halmashauri ya Wilaya ya Magu imepokea kibali cha ajira mpya chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 chenye Kada ya Mtendaji wa Kijiji Daraja la III nafasi ...
Maelezo kuhusu Nafasi za kazi Manispaa ya Ilemela – Utumishi; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela amepokea kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kupitia barua yenye ...
Ajira mpya, Nafasi za kazi Wilaya ya Morogoro – Utumishi; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ...