Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2404
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 24, 20242024-07-24T10:39:09+00:00 2024-07-24T10:39:09+00:00In: Usaili

Matokeo ya Usaili wa Kuandika TCAA – Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Julai 2024

  • 0

Leo kutoka Sekretarieti ya ajira Utumishi (PSRS), Wametangaza Matokeo ya Usaili wa Kuandika TCAA – Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Julai 2024. Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

Matokeo ya Usaili wa Kuandika TCAA
Matokeo ya Usaili wa Kuandika TCAA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ilianzishwa kwa kutunga Sheria ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ya mwaka 2003 Sura ya 80 (R.E 2006) ili kudhibiti Sekta ya Usafiri wa Anga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuhakikisha utekelezaji mzuri wa Viwango na Taratibu Zinazopendekezwa. SARPs) kama ilivyoainishwa katika Viambatisho vya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO). Mamlaka pia ina jukumu la kudhibiti kiuchumi shughuli za watu na taasisi zinazotoa huduma za usafiri wa anga na huduma za uwanja wa ndege. Zaidi ya hayo, Mamlaka inatoa huduma za usafiri wa anga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na anga za juu za Rwanda na Burundi.

Matokeo ya Usaili TCAA

1. Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
2. Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
3. Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao.

Bonyeza hapa kudownload matokeo ya usaili TCAA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Matokeo ya usaili TCAAMatokeo ya usaili wa kuandika TCAATCAAUsaili
  • 1 1 Answer
  • 951 Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-24T10:41:21+00:00Added an answer on July 24, 2024 at 10:41 am

      Matokeo ya Interview Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) 2024.
      Kwa walioitwa kwenye usaili TCAA mara ya kwanza basi matokeo yao ya mara ya pili yako tiari.

      Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya sekretarieti ya ajira Utumishi.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA ...

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Mteknolojia Dawa Na Maabara

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Msaidizi Wa Afya

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo ya Usaili wa Kuandika Bunge la Tanzania - Utumishi ...

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.