Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2078
Next
In Process
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: July 20, 20242024-07-20T14:32:40+00:00 2024-07-20T14:32:40+00:00In: Ajira

Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024

  • 0

Leo kutoka utumishi (PSRS), Ajira Mpya – Nafasi za kazi Kigamboni – Utumishi 2024; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Manispaa ya Kigamboni kuomba nafasi za kazi ziliyotajwa hapo chini, baada ya kupokea kibali chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Ajira Mpya Kigamboni

DEREVA II – NAFASI 5: Leseni ya Daraja la “E” au “C” ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali na awe amehudhuria mafunzo ya Msingi ya uendeshaji Magari
WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU II – NAFASI 10: Awe na Elimu ya kidato cha Nne (Form IV) au cha Sita (Form VI) aliehitimu mafunzo ya Stashahada /Diploma (NTA Level 6) katika fani ya utunzaji wa kumbukumbu kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, wenye ujuzi wa kompyuta.

Bonyeza hapa kudownload Tangazo la nafasi za kazi Kigamboni

Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini.

AjiraAjira Mpya KigamboniKigamboniNafasi za kazi KigamboniUtumishi
  • 3 3 Answers
  • 1k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    3 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Erick
      2024-07-20T14:35:18+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 2:35 pm

      Ajira Mpya Kigamboni – Nafasi za Halmashauri 2024 Utumishi.

      Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kungilia kazi kwa waajiri wao na waajiri wajiridhishe ipasavyo.

      Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 27.07.2024.
      MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliosainishwa pamoja na vyeti vya Elimu. Anuani ya barua hiyoielekezwe kwa: –

      Mkurugenzi wa Manispaa,
      Halmashauri ya Manispaa Kigamboni,
      S.L.P. 36009,
      Kigamboni – Dar Es Salaam.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
      • Aneth Benjamin
        Aneth Benjamin
        2024-07-24T11:21:12+00:00Replied to answer on July 24, 2024 at 11:21 am

        Jinsi ya kutumia maombi nimeshindwa ila jinsi ya kutunza records naweza ila naomba kusaidiwa jinsi ya kutuma maombi 🙏🙏

        • 0
        • Reply
        • Share
          Share
          • Share on Facebook
          • Share on Twitter
          • Share on LinkedIn
          • Share on WhatsApp
    2. Erick
      Erick
      2024-07-20T14:36:59+00:00Added an answer on July 20, 2024 at 2:36 pm

      Jinsi ya kutuma maombi katika nafasi za kazi Kigamboni 2024 Utumishi.

      Maombi yote ya kazi yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo https://portal.ajira.go.tz, aidha hakuna maombi yatakayopokelewa kwa njia tofauti na iliyotajwa.

      Limetolewa Na: –
      E. N. Kiwale
      Mkurugenzi Manispaa ya Kigamboni.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 271
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Janeth N Mafie
      Janeth N Mafie added an answer Application for the temporary position as assistant accountant May 10, 2025 at 12:58 pm
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm

    Related Questions

    • Erick

      Sekretarieti ya Ajira | Tangazo kuhusu Ajira za Ualimu 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi 11015 za Ajira za Ualimu Utumishi - Ajira za ...

      • 3 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick

      Nafasi za Mkataba MSF Tanzania 2025

      • 1 Answer
    • Erick

      Nafasi za Kazi Wilaya ya Liwale 2025

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.