Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 3694
Next
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 0
Erick
Asked: August 18, 20242024-08-18T18:47:46+00:00 2024-08-18T18:47:46+00:00In: Usaili

Walioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Bunda 2024

  • 0

Leo, Orodha ya majina ya kuitwa au Walioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Tarime 2024. Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Bunda na Mwibara anapenda kuwatangazia wananchi wote waliomba nafasi za kazi katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, kuwa Usaili unatarajia kuendeshwa kuanzia tarehe 20-08-2024 hadi 21-08-2024 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji watakaofaulu usaili huo. Bofya hapa kuona orodha ya majina na ratiba ya usaili.

Walioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Bunda 2024

Kuitwa kwenye usaili NEC au INEC katika majimbo mbalimbali ya Bunda pamoja na mwibara.

Wasaliliwa walioitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:

  • Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi, vitambulisho mfano – kitambulisho cha mkazi, kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha Uraia, Hati ya Kusafiria au kitambulisho cha kazi.
  • Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI (original), kuanzia cheti cha kuzaliwa, na vile ambavyo uliambatanisha kwenye barua ya maombi.
  • Kila msailiwa atajigharamia chakula, usafiri na malazi.
  • Kila msailiwa azingatie tarehe na mahali alipangiwa kufanyia usaili.

Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili NEC Bunda

1# KATA YA SALAMA NEC

2# KATA YA HUNYARI NEC

3# KATA YA MIHINGO NEC

4# KATA YA MUGETA NEC

5# KATA YA KETARE INEC

6# KATA YA NYAMANG’UTA INEC

7# KATA YA NYAMUSWA INEC

8# KATA YA NYAMIHYOLO INEC

9# KATA YA BUTIMBA NEC

10# KATA YA KASUGUTI INEC

11# KATA YA KISORYA NEC

12# KATA YA CHITENGULE INEC

13# KATA YA NAMHULA NEC

14# KATA YA NAMHULA INEC

15# KATA YA NANSIMO INEC

16# KATA YA IGUNDU NEC

17# KATA YA NYERUMA INEC

18# KATA YA NAMPINDI NEC

19# KATA YA IRAMBA INEC

20# KATA YA KIBARA NEC

Soma zaidi: NEC Walioitwa kwenye Usaili Tume ya Uchaguzi INEC 2024 Tarime

Kuitwa kwenye usaili INECKuitwa kwenye usaili NECNEC – INECWalioitwa kwenye usaili INECWalioitwa kwenye Usaili NEC
  • 1 1 Answer
  • 2k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    1 Answer

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-08-18T18:52:59+00:00Added an answer on August 18, 2024 at 6:52 pm

      ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI NEC – INEC BUNDA 2024

      Wasa­iliwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:

      Jimbo la Mwibara usaili utafanyika tarehe 20/08/2024 katika eneo la OFISI ZA KATA.

      Jimbo la Bunda usaili utafanyika tarehe 21/08/2024 Katika eneo la TRC NYAMUSWA.

      Wasa­iliwa watatakiwa kufika kwenye eneo la usaili saa 1:30 Asubuhi.

      Wasa­iliwa wanapaswa kuwa na vitambulisho kwa ajili ya utambuzi, Vitambulisho vitakavyoku­baliwa ni pamoja na Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha Kazi, Kitambulisho cha Uraia, Leseni au Hati ya kusafiria.

      Wasa­iliwa watatakiwa kufika na vyeti vya Taaluma na Ujuzi alionao.

      Wasa­iliwa waz­ingatie tarehe, Muda na mahali uliopa­ngiwa kufanyia usaili.

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA ...

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Mteknolojia Dawa Na Maabara

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Msaidizi Wa Afya

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo ya Usaili wa Kuandika Bunge la Tanzania - Utumishi ...

      • 0 Answers

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.