Sign Up

Have an account? Sign In Now

Sign In

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

You must login to ask a question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

Habari Times

Habari Times

Habari Times Navigation

You can use WP menu builder to build menus
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
You can use WP menu builder to build menus
Home/ Questions/Q 2267
Answered
Matangazo ya kazi Ajira Portal

Habari Times Latest Questions

Erick
  • 6
Erick
Asked: May 9, 20252025-05-09T05:02:34+00:00 2025-05-09T05:02:34+00:00In: Usaili

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 – Tanzania TPF

  • 6

Leo hii hapa orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 23, 2025 – Tanzania TPF. Mkuu wa Jeshi la Polisi anapenda kuwatangazia kuwa vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira TANZANIA POLICE FORCE RECRUITMENT PORTAL, usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.

Kwa wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa Road.

Ajira ChaneliJiunge hapa
Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania TPF

Bonyeza hapa kupakua pdf ya majina

Kila msailiwa atalazimika kufika eneo la usaili akiwa na vyeti halisi vya taaluma (Academic certificates), cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha Taifa cha NIDA au namba ya NIDA pamoja na nguo na viatu vya michezo. Msailiwa atakayefika kwenye usaili baada ya tarehe 28/04/2025 hatapokelewa. Aidha, orodha ya waliochaguliwa kufanya usaili imeambatishwa pamoja na tangazo hili.

Pia, Kwa wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Nne, usaili utafanyika Zanzibar ambapo kwa walioko mikoa ya Unguja, usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani) na Mikoa ya Pemba usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).

Endelea kusoma baadhi ya maelezo chni hapa kwa ajili ya usaili.

kuitwa kwenye usaili Polisimajina ya walioitwa kwenye usaili PolisiPolisiPolisi TanzaniaUsaili Polisiwalioitwa kwenye usaili Polisi
  • 4 4 Answers
  • 15k Views
  • 0 Followers
  • 0
Share
  • Facebook
    Leave an answer

    Leave an answer
    Cancel reply

    4 Answers

    • Voted
    • Oldest
    • Recent
    1. Erick
      Best Answer
      Erick
      2024-07-23T05:58:17+00:00Added an answer on July 23, 2024 at 5:58 am

      KUITWA KWENYE USAILI JESHI LA POLISI TANZANIA 2024.

      Waombaji wenye elimu ya kidato cha nne na sita usaili wao utafanyika kwenye
      mikoa walioichagua wakati wa kutuma maombi.

      • -49
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Share on LinkedIn
        • Share on WhatsApp
      • Boniface Hendry Malingila
        Boniface Hendry Malingila
        2024-07-23T22:01:21+00:00Replied to answer on July 23, 2024 at 10:01 pm

        Unayapataje majin

        • -8
        • Reply
        • Share
          Share
          • Share on Facebook
          • Share on Twitter
          • Share on LinkedIn
          • Share on WhatsApp
        • Keneth Joramu
          Keneth Joramu
          2024-07-28T07:14:18+00:00Replied to answer on July 28, 2024 at 7:14 am

          Je na nguo za michezo tunaenda nazo pair ngap na tunakaa kama kambi au ni kuja na kurudi

          • 0
          • Reply
          • Share
            Share
            • Share on Facebook
            • Share on Twitter
            • Share on LinkedIn
            • Share on WhatsApp
        • Paschal sabule kingi
          Paschal sabule kingi
          2024-07-28T07:14:46+00:00Replied to answer on July 28, 2024 at 7:14 am

          Majina tunayapataje

          • -4
          • Reply
          • Share
            Share
            • Share on Facebook
            • Share on Twitter
            • Share on LinkedIn
            • Share on WhatsApp
    Matangazo ya kazi Ajira Portal

    Sidebar

    Ask A Question

    Stats

    • Questions : 174
    • Answers : 270
    • Most visited
    • Answers
    • Erick

      Nafasi za Jeshi JWTZ 2025 - Ajira Jeshi la Ulinzi ...

      • 2 Answers
    • Erick

      Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Polisi Aprili 2025 - Tanzania ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi 6257 za Ajira Mpya MDAs & LGAs - Utumishi ...

      • 4 Answers
    • Erick

      Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 JWTZ Tanzania Uwandikishaji wa ...

      • 11 Answers
    • Erick

      Jinsi ya kuedit / kurekebisha nakala Ajira Portal - Utumishi ...

      • 15 Answers
    • Erick
      Erick added an answer Huwezi kufuta cheti ajira portal, kitu cha kufanya nenda moja… May 9, 2025 at 8:44 pm
    • Erick
      Erick added an answer Ndiyo May 9, 2025 at 8:43 pm
    • Erick
      Erick added an answer Tuanze mdogo mdogo tutafika 1. Una kiwango gani cha elimu… May 9, 2025 at 8:38 pm

    Related Questions

    • Erick

      MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA ...

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Mteknolojia Dawa Na Maabara

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo Ya Usaili Msaidizi Wa Afya

      • 0 Answers
    • Erick

      Matokeo ya Usaili wa Kuandika Bunge la Tanzania - Utumishi ...

      • 0 Answers
    • Erick

      Walioitwa kwenye Usaili NEC – INEC Bunda 2024

      • 1 Answer

    Trending Tags

    Ajira INEC NEC Utumishi Walioitwa kwenye usaili INEC

    Explore

    Footer

    © 2024 Habari Times. All Rights Reserved
    Created by Habaritimes.